SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Kuna mtu namfahamu amehitim chuo cha ualimu mwaka jana, amesuburi ajira hadi sasa peupe ila yeye alijiwahi akawa na plan b. Sasa hv ana duka la nguo kubwa tu anauza nguo za mitumba za watoto na wanawake ( ambazo seriously ndio zenye market) na life sasa hivi linaenda.