Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Leo ni siku ya 60 tangu tupate tangazo la kusitisha nasubiri kinachofuata baada ya habari
 
mkulu mwenyewe anadai zoezi bado linaendelea...aliyeshiba hamjui mwenye njaa
 
mkulu mwenyewe anadai zoezi bado linaendelea...aliyeshiba hamjui mwenye njaa
Hivi huyu Raisi muongo utawezaje kumuombea au ni kutafuta laana tu...alisema haitopita miezi miwili labda hii miezi ina 31 days yote.....tuonane kesho kutwa
 
Wewe kajiajiri unakaa kusubiri ajira tu je wasipoajiri utafanya nini
 
Ila tu ukwel utabaki palepale,kifupi serikal haina upungufu wa waalim hasa wewe Wä arts ndio usahau kabisaaa
 
Ila tu ukwel utabaki palepale,kifupi serikal haina upungufu wa waalim hasa wewe Wä arts ndio usahau kabisaaa
Sema mwalimu wa maarifa ya jamii shule ya msingi. Huku hatuna arts wala sayansi. Pumbavuuuu. Inaonekana ww n team lumumba.
 
Kifupi hakuna ajira mpaka mwakan mwezi wa 7 kama huamini subiri
 
Naamin kwa mtu mwenye akili ya maisha boom ni mtaji tosha tAtizo wanachuo ubishooo mwingi kufake uhalisia wa maisha yako asili ndo chanzo jipangen kudadeki kitaa akili tu
Ww umeng'ang'ania boom tu hebu changanua lko ulilitumiaje mkuu
 
Back
Top Bottom