Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa

olewaga na mtu mwingine tu kama amejitokeza maana hivi viumbe vya jinsia ya kusimama sometimes hawanaga muamana hata kidogo. kila la kheri mwaya
 
Mbn we n muongo muongo sana, kwenye thread unasema una miaka 26, mbn huku una miaka 23, me siwezi oa mwanamke muongo km ww!
Nahisi hata huyo mtu ako hatak kukuoa na uongo wako huenda ikawa n moja ya sababu.
1451391326553-jpg.313622
 
Huyo mchumba ako umeshaachana naye kwanza au bado unamshikilia hadi ukipata mwingine? Muombe sana Mungu afu usiwe na papara ya ndoa sana; japo unaonesha unaihitaji sana. Ukiwa desperate sana unaweza kujikuta unaishia kuumizwa tu na watakaotake advantage ya hitaji lako la ndoa . Sometimes Ni bora uchelewe kufika, ila ufike salama. Kila la kheri though
Maneno kuntu.
 
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar

nina miaka 50 ni mfanyakazi serikalini na kazi bado naiweza km vile niko 27.
 
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar

Waswahili wanasema, "Haraka haraka haina baraka" na "Mvumilivu hula mbivu." Nakutakia kila heri katika kutafuta mchumba. I hope utapata unayemhitaji.
 
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
Unaonekana ni mtu usiye na msimamo
 
Miaka 27 umechoka kusubiri hadi unatafta MTU wa kukuoa mtandaoni????Mume anatoka kwa Bwana sugua goti Dada na endelea na mishe zako za kila siku hasa kutimiza ndoto zako za kimaisha na think positive usipapatikie ndoa utajuta.......samahani lakini ni mtizamo wangu kosea yote lakini usikosee ndoa eti kisa umri umekwenda ......life is short OK????
 
Hitaji la kutaka kuolewa....linakufanya upoteze uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo......kufunga ndoa ni jambo la kwanza na kuhimiri mikikimikiki ya ndoa ni jambo la pili.........
Maamuzi ya ndoa ni moja kati ya maamuzi yanayohitaji umakini wa hali ya ju kwani ni maamuzi yanayopelekea kubadilisha mfumo mzima wa maisha yako.........

Ndoa ni mahali penye furaha.....ni muunganiko unaoleta faraja ndani ya mioyo ya wapendanao.....unatakiwa uishi na mtu anayeishi ndani yako......kwa sababu hakuna shule au chuo kinachofundisha namna ya kupenda........

KUPANGA NI KUCHAGUA.......
Mtani umemisika sana.. heri ya mwaka mpya
 
Huyo mchumba ako umeshaachana naye kwanza au bado unamshikilia hadi ukipata mwingine? Muombe sana Mungu afu usiwe na papara ya ndoa sana; japo unaonesha unaihitaji sana. Ukiwa desperate sana unaweza kujikuta unaishia kuumizwa tu na watakaotake advantage ya hitaji lako la ndoa . Sometimes Ni bora uchelewe kufika, ila ufike salama. Kila la kheri though
Wanaume tunawalaga sana wadada kama hawa,unamdanganya tu nitakuoa ukila huyooooooooo;););):D
 
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar


Tuweke utani pembeni,niko desperate kwa mambo kama hayo,nami nahitaji mwenza mwenye mahitaji kama wewe. JF inaweza kuwa njia yetu sisi kukutana,in case of lolote tuwasiliane inbox. Consider it serious umri wangu 36
 
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar

Njoo pm fasta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom