Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,606
Watu bhana, mtu anatafuta mume mnamponda, mnataka afanyeje??
Muacheni mdada wa watu
Heri ya XMass na mwaka mpya!
Watu bhana, mtu anatafuta mume mnamponda, mnataka afanyeje??
Muacheni mdada wa watu
we si juzi umetoka ukwenipls rubby njoo inbox tuyapange yetuView attachment 313623 View attachment 313623 View attachment 313623 View attachment 313623
Mnazidi kupungua mkuu!Kulikuwa na maana gani ya kuandika wewe ni muislam? Haya matangazo ya kutafuta umaarufu ni Upuuzi kabisaa
Mbn we n muongo muongo sana, kwenye thread unasema una miaka 26, mbn huku una miaka 23, me siwezi oa mwanamke muongo km ww!
Nahisi hata huyo mtu ako hatak kukuoa na uongo wako huenda ikawa n moja ya sababu.
Miaka yake inabadilika kama thermometer kukiwa na joto inapanda kukiwa na baridi inashuka
Maneno kuntu.Huyo mchumba ako umeshaachana naye kwanza au bado unamshikilia hadi ukipata mwingine? Muombe sana Mungu afu usiwe na papara ya ndoa sana; japo unaonesha unaihitaji sana. Ukiwa desperate sana unaweza kujikuta unaishia kuumizwa tu na watakaotake advantage ya hitaji lako la ndoa . Sometimes Ni bora uchelewe kufika, ila ufike salama. Kila la kheri though
Nawe pia my dia.Heri ya XMass na mwaka mpya!
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
Unaonekana ni mtu usiye na msimamomm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
Mtani umemisika sana.. heri ya mwaka mpyaHitaji la kutaka kuolewa....linakufanya upoteze uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo......kufunga ndoa ni jambo la kwanza na kuhimiri mikikimikiki ya ndoa ni jambo la pili.........
Maamuzi ya ndoa ni moja kati ya maamuzi yanayohitaji umakini wa hali ya ju kwani ni maamuzi yanayopelekea kubadilisha mfumo mzima wa maisha yako.........
Ndoa ni mahali penye furaha.....ni muunganiko unaoleta faraja ndani ya mioyo ya wapendanao.....unatakiwa uishi na mtu anayeishi ndani yako......kwa sababu hakuna shule au chuo kinachofundisha namna ya kupenda........
KUPANGA NI KUCHAGUA.......
Swali zuri katika Wakati Mzuri... Nipo pembeni hapakwani una uzoefu wowote wa kulizwa humu jukwaani..? kama ndiyo , je ni nani aliyekuliza .
naaamm......tunasubiri majibu.Swali zuri katika Wakati Mzuri... Nipo pembeni hapa
Wanaume tunawalaga sana wadada kama hawa,unamdanganya tu nitakuoa ukila huyoooooooooHuyo mchumba ako umeshaachana naye kwanza au bado unamshikilia hadi ukipata mwingine? Muombe sana Mungu afu usiwe na papara ya ndoa sana; japo unaonesha unaihitaji sana. Ukiwa desperate sana unaweza kujikuta unaishia kuumizwa tu na watakaotake advantage ya hitaji lako la ndoa . Sometimes Ni bora uchelewe kufika, ila ufike salama. Kila la kheri though
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar