Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,298
- 33,083
Kumbuka ukiuwa kwa upanga nawe utakufa kwa
Mzizi Mkavu,heshima yako mkuu. Naomba u-edit title kuonya juu ya picha ya kustusha,wengine mioyo yetu dhaifu jamani! Natanguliza shukrani
Samahani kama nimekukwasi huyu ana njaa ya kimaisha na Serikali haiwezi kumsaidia hizo ni mbınu za kuishi nchini indiaMzizi Mkavu,heshima yako mkuu. Naomba u-edit title kuonya juu ya picha ya kustusha,wengine mioyo yetu dhaifu jamani! Natanguliza shukrani
Samahani usijali siku ingine nitaweka tahadhariNakuunga Mkono King'asti, hata mimi sikupenda kabisa kuiona picha kama hii. Mkuu MM uwe unatoa tahadhari banaaa picha nyingine wengine tusingependa kuzitia machoni kabisa.
Samahani kama nimekukwasi huyu ana njaa ya kimaisha na Serikali haiwezi kumsaidia hizo ni mbınu za kuishi nchini india
Samahani usijali siku ingine nitaweka tahadhari
....Bila samahani Mkuu...Mimi na wewe hakuna haja ya kuombana samahani Bro. Nashukuru umenielewa.
bibie Faiza Foxy hujambo mzee mwenzangu? habari za wapi kariakoo au Gerezani? mimi nipo ughaibuni majuuBAK, tafadhali shusha fonts zako, kwani unafikiri hatuoni? zinakera.
bibie Faiza Foxy hujambo mzee mwenzangu? habari za wapi kariakoo au Gerezani? mimi nipo ughaibuni majuu
Very disturbing photo...Mzizi Mkavu,heshima yako mkuu. Naomba u-edit title kuonya juu ya picha ya kustusha,wengine mioyo yetu dhaifu jamani! Natanguliza shukrani