Hii ndo shida ya mwanaume ukiwa mfuasi wa MwamposaMoja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afy...
HahaaaRaia wenyewe ni wa sampuli hii, Alafu tunategemea siku CCM itoke madarakani
Pole sana DR Mambo JamboMoja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
Haya ndo huwa namwambia kila siku BICHWA KOMWE - Rafiki yangu ona sasa kashawashawishi wengine wakatae tiba 🤣🤣Pole sana DR Mambo Jambo
JANABI NI BELZEBULI, Mkuu wa MAPEPO YA CHANJO.Haya ndo huwa namwambia kila siku BICHWA KOMWE - Rafiki yangu ona sasa kashawashawishi wengine wakatae tiba 🤣🤣
Yaani nimecheka sana 🤣🤣🤣DOKTA ni PEPO MCHAFU, na kwa vyovyote atakuwa ni Janabi tu huyo au mfuasi wake mtiifu wa chanjo rafiki yangu mbishi sana DR Mambo Jambo
Halafu tangu lini ushauri wa daktari ukatolewa kwenye simu!! Hii ni propaganda tu ya kijinga 😂
Fire fire, choma huyo pepo mchafu dokta uchwara!! 😜🤪🤪🤣🤣
Wanapenda kuzalisha kwa operesheni ili waongeze maokoto wakati inawezekana kabisa mwanamke kujifungua kwa njia ya kawaida.
FIRE KABISA, tena hizo faya zingeelekezwa kwa janabi ingependeza zaidi, BELZEBULI MKUU WA MAPEPO YA CHANJO.
🤣🤣🤣JANABI NI BELZEBULI, Mkuu wa MAPEPO YA CHANJO.
Ningekuwepo hapo ningeongeza moto mkali, FIRE FIRE FIRE piga mbwa huyo! Eboo!
Eti operesheni!!!! Tena jamaa kasema vizuri kabisa kwamba mke wake amejifungua kwa operesheni mara nyingi kwahiyo ni hatari kupasuliwa tena, lakini huyo DOKTA UCHWARA MWENYE D MBILI ashurutisha operesheni!
Piga kiberiti bwege huyo!