Saluti nyingi sana kwako....huo ndio uanaume mwanangu....dunia uwanja wa fujo....hayo yamenikuta sana...mwanzoni ilinisumbua sana....baadae nikakomaa....nikaapa sitafuatilia tena....Kuna wakati katika kutafuta maisha nitajikuta naishi na mshangazi miaka zaidi ya 35 iliyopita.....nikawa napangwa mimi ni kaka mtu...napisha chumba nalala sebuleni....jamaa anabandua usiku kucha...na mimi nasikilizia......Wakuu,
Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.
Nimechapiwa mke wangu.
Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.
Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.
Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.
Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.
Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.
Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.
Mama yangu Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Nakubaliana na wewe mkuu 100%Hata umtoe makongoros chunya ndani ndani akifika kinondoni akaanza kukufanyia aliokufanyia, brother ukimwi unakuita brother, mke wa mtu hatombwi kwa condom maana jamaa anatombakumkoleza na kukukomoa wewe sababu mke wa mtu hana sababu ya kutembea nje akarudia mara kwa Mara kama hakukolezwa majamaa huwa wanawapakia Vicks kingo...Kaa kitaalam masta
Asante kwa ushauri.Saluti nyingi sana kwako....huo ndio uanaume mwanangu....dunia uwanja wa fujo....hayo yamenikuta sana...mwanzoni ilinisumbua sana....baadae nikakomaa....nikaapa sitafuatilia tena....Kuna wakati katika kutafuta maisha nitajikuta naishi na mshangazi miaka zaidi ya 35 iliyopita.....nikawa napangwa mimi ni kaka mtu...napisha chumba nalala sebuleni....jamaa anabandua usiku kucha...na mimi nasikilizia......
Very complicated; moto umesema unapeleka vizuri,matunzo unampa,ila wapi,ama kweli kisicho riziki hakili🙌Amina mkuu nashkuru kwa ushauri.
Yani unauliza umekosea wapi hamna, kitendo cha kuwa mbali nae kwa siku sita ameua ndoa iliyojengwa kwa miaka zaidi ya minne sasa.Very complicated; moto umesema unapeleka vizuri,matunzo unampa,ila wapi,ama kweli kisicho riziki hakili🙌
Nimeapa kuwaacha wote mama angu. Kwasasa hivi commitment ni ngumu. Kusingekua na magonjwa sawa. Just imagine nimeomba PEP kutoka Tanga nahaha zifike kabla siku tatu hazijaisha siwezi hata kulala.Mwanangu utaacha wangapi ? Wote ni kama wamenyonya nyonyo moja
Asante Mkuu.Muda huu sikiliza haka kawimbo ka kijana wetu
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
View: https://music.youtube.com/watch?v=9KWJ_JQslz0&si=P7LpP1T-iZ_GmQpx
Unamaanisha ndoa yako ina miezi mitatu au ni ya muda ila mmehamia kino recently?Nilimtoa Tarime kinondoni hana miezi mitatu. But sikatai you're right maana imetokea.
Kweli wewe una uzalendo mzee. Ila shkamoo pia dingi.Saluti nyingi sana kwako....huo ndio uanaume mwanangu....dunia uwanja wa fujo....hayo yamenikuta sana...mwanzoni ilinisumbua sana....baadae nikakomaa....nikaapa sitafuatilia tena....Kuna wakati katika kutafuta maisha nitajikuta naishi na mshangazi miaka zaidi ya 35 iliyopita.....nikawa napangwa mimi ni kaka mtu...napisha chumba nalala sebuleni....jamaa anabandua usiku kucha...na mimi nasikilizia......
Hapana mkuu it's too early kuishi na mizigo mizito kama hii moyoni, sifa ya mke cheater ni maana yake upendo haupo na yupo tu kwasababu mazingira yanaforce. Uwezekano waku cheat tena ni 90%+ Hii iliopaswa iwe siri ya ndani nimeiweka kwenu wote, kuna la kujifunza hapa.Ingawa rich mavoko aliimba kuchapiwa ni siri za ndani ila hawa wanawake sometimes sijui huwa nini Yani I wish nitukane unampa Kila kitu ila kwenda kutiwa nje anaona fashion