YapMazingira ya aje mkuu, njia niliyotumia kugundua ama ?
Mkuu me nakaa kino, wanawake wa kino wengi wao ni hamna kitu bro, we Tanya mambo yako tu wala usijihusishe nao kabisaaaHakika leo yametimia kwangu, Nashkuru sana kwa pole yako. Tuendelee kujenga nchi.
Nitakuja kuweka wazi kwa watu tunaotumia simu za Android kuna namna ya kuangalia msg za simu zipizofutwa ndani ya 48 hours bila kuinstall application yoyote wala kulipia. Hii ndio njia niliyotumia na ushahidi wa kimazingira mfano dada wa kazi aliemfungulia saa nne usiku, Maana kwakua sikuwepo mimi aliniambia alirudi saa moja nyumbani.
Hata umtoe makongoros chunya ndani ndani akifika kinondoni akaanza kukufanyia aliokufanyia, brother ukimwi unakuita brother, mke wa mtu hatombwi kwa condom maana jamaa anatombakumkoleza na kukukomoa wewe sababu mke wa mtu hana sababu ya kutembea nje akarudia mara kwa Mara kama hakukolezwa majamaa huwa wanawapakia Vicks kingo...Kaa kitaalam mastaNilimtoa Tarime kinondoni hana miezi mitatu. But sikatai you're right maana imetokea.