Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
nawaunga mkono wote waliotoa maoni yao,
wasiwasi wangu ni kwa SAWEBOY anaficha nn wkt hili jukwaa letu ni la uwazi na ukweli.
Awe mwazi ili wengine nao wafaidike.Mnunu usikate tamaa bado una nafasi nzuri ya kusoma
nakupa mfano wa Hosea wa PCCB alikuwa karani wa mahakama
then akajiendeleza akawa hakimu ngazi ya mwanzo ,
hakimu mkazi na usisahau ni dr kabisa.songa mbele.
Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kuweka wazi malengo yako yatatimia
na ukweli wako umekuweka huru.
wasiwasi wangu ni kwa SAWEBOY anaficha nn wkt hili jukwaa letu ni la uwazi na ukweli.
Awe mwazi ili wengine nao wafaidike.Mnunu usikate tamaa bado una nafasi nzuri ya kusoma
nakupa mfano wa Hosea wa PCCB alikuwa karani wa mahakama
then akajiendeleza akawa hakimu ngazi ya mwanzo ,
hakimu mkazi na usisahau ni dr kabisa.songa mbele.
Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kuweka wazi malengo yako yatatimia
na ukweli wako umekuweka huru.