Nimechanganyikiwa nisaidieni

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,591
Reaction score
31,128
Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Unatakiwa kunajibana kwenye
...meals & Accomodatioon, stationary ulipeeee ada ndugu
 
Hongera sana,,,Umepewa mkopo wa kutosha kabisa.....Unadaiwa ada laki 2 tu. Semester 1 unalipa laki moja then unamalizia nyingne semester 2. Nenda report, mkope mtu laki moja ulipe ada,ukisha sign boom unapokea laki 5 yako shida zote zinaisha
 
Mkuu ebu kaachini then mshukuru Mungu kwa ulicho kipata.

Mm wakati npo chuo nilipata mkopo but nilipewa meals and accomodation pamoja na stationary lkn niliweza kujilipia ada na kuishi vizuli tu.

Kitu chakufanya usiende kupanga Kaa hostel Mkuu then kabla ya kupokea pesa fanya mipangilio mizuli yapesa zako natumaini utatoboa lkn ukijichanganya kupanga tuuu uwez toboa trust me Mkuu
 
Hao ukute Wana wazazi machief

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana,,,Umepewa mkopo wa kutosha kabisa.....Unadaiwa ada laki 2 tu. Semester 1 unalipa laki moja then unamalizia nyingne semester 2. Nenda report, mkope mtu laki moja ulipe ada,ukisha sign boom unapokea laki 5 yako shida zote zinaisha
Ila siwezi kutanua ndotatizo

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 

Nenda kasajili achana na ujinga wa Furaha hiyo hela inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…