Nyamafu kweli wewe dada. unasema alikuwa anakusumbua sana huyo kijana wako (hawara hana talaka) bila shaka usumbufu wake uliujua,ukainua makongoro yako kwenda kumsikia baada ya kuona kwa simu haitoshi,kama ulimtolea nje na jamma akayarecord maongezi yenu kwanini akuache (ukatoa appointment ya kugegedwa) ikawa recorded,unataka jamaa aendelee kuwa tu Bushoke? Mbuzi kasoro mkia wewe, jamaa kajiweka pembeni kama 20% unakuja kulilia fb. Tulizana na uwe mkweli.