Nimechanganyikiwa mwezenu

Nimechanganyikiwa mwezenu

Nyamafu kweli wewe dada. unasema alikuwa anakusumbua sana huyo kijana wako (hawara hana talaka) bila shaka usumbufu wake uliujua,ukainua makongoro yako kwenda kumsikia baada ya kuona kwa simu haitoshi,kama ulimtolea nje na jamma akayarecord maongezi yenu kwanini akuache (ukatoa appointment ya kugegedwa) ikawa recorded,unataka jamaa aendelee kuwa tu Bushoke? Mbuzi kasoro mkia wewe, jamaa kajiweka pembeni kama 20% unakuja kulilia fb. Tulizana na uwe mkweli.
 
we acha tu kuna mkaka Mmoja aliwahi kuniambia hivi "Sijui wanaume wa siku hizi ni Vipofu,
Why they don't see you the way I'm seeing you!!!!for real your a Super Woman... na ni mwanamke
ambae kila mwanaume mwenye akili anapenda kuwa nae" sisahau maneno yake hadi keshokutwa

we man we are good at wat we say...
kama u appear strong , talk deep and wise ,very indipendent minded and accepting challenges and bright kutokudanganywa..
ukipata mwanaume makini anaeweza kunoti hivo vyote..trust me data Mimi ningeshoot that same ---- ili unione ..day uyu kakaa...
 
Nyamafu kweli wewe dada. unasema alikuwa anakusumbua sana huyo kijana wako (hawara hana talaka) bila shaka usumbufu wake uliujua,ukainua makongoro yako kwenda kumsikia baada ya kuona kwa simu haitoshi,kama ulimtolea nje na jamma akayarecord maongezi yenu kwanini akuache (ukatoa appointment ya kugegedwa) ikawa recorded,unataka jamaa aendelee kuwa tu Bushoke? Mbuzi kasoro mkia wewe, jamaa kajiweka pembeni kama 20% unakuja kulilia fb. Tulizana na uwe mkweli.

mtumzima mwenzagu tengua kauli..umu sio fb ..kama ulivyohitimisha apo juu
 
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!

Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......

coz tumeumbiwa upendo.
biblia inasema 'enyi waume wapendeni wake zenu 'hawa wenzetu waliamriwa kupenda
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman

Kaku-record?????tena ushkuru "hajakuchakaza" za tumbo kama mwenzio Ufoo maana naamini kama alikuwa na uwezo wa kuku-record pia angeweza kukugeuza marehem..damn wadada wakisasa mna nini unafunga safari kwenda kumsikiliza et m-kaka!!tena una bahati kakuachia line yake wazi ingekuwa mimi ninge-block No za sim za familia yako yote.usipoolewa unalalamika kumbe unasababisha mwenyewe tabu.mwache mana mkirudiana ataja kukuua naye ajiue amuue na huyo uloenda kumsikiliza huoni ni hasara kwa Taifa???nakushauri katulie na huyo ulieenda kumsikiliza na utulize "SHABAHA" hiyo.
 
Madada wa siku hizi huwa mnakera sana,kwa kuingia katika mahusiano pasipo kutambua thamani ya mahusiano hayo.
Mapenzi yanapaswa kulindwa kama mboni ya jicho kujengewa uaminifu.
Umefanya makosa makubwa kwa uzembe wako wa kutofikiri:
1.Kama ulikwishaifahamu dhamira ya huyo jamaa anayekupigia simu,ni kwanini unapokea call zake?
~It seems bado unafanya selection ya wapenzi.
2.Pia,kilichokusukuma uende ni kipi?Endapo umeshajua anachokuitia.
~Je ukibakwa huko?
~Je mpenzi wako akikuona atakuelewaje?
3.Umeshapata akupendae,ni kipi kinachokufanya uendelee kusumbuka na wengne?
~Yaelekea hujaridhka na uliyenae na wewe ni msiri sana kwa mpenzi wako.
Ulitakiwa utafakari haya kwanza kabla ya kufanya uliyoyafanya.
WANAUME WENZANGU,WADADA WA SIKU HIZI wengi wao ni walaghai,tutoapo pesa ama tuingiapo gharama kwa ajili yao,tufanye tu kama tunatoa sadaka.
Na siwaelewi hawa viumbe wanatafuta nini katika mapenzi.

Sure bro...u damn right!!!
 
Kama umechanganyikiwa nenda Mirembe ndio hospitali maalumu kwa ajili ya wenye shida ya kuchanganyikiwa...
 
coz tumeumbiwa upendo.
biblia inasema 'enyi waume wapendeni wake zenu 'hawa wenzetu waliamriwa kupenda

coz mwanaume anaweza akacheat na still akawa anampenda aliemcheat ila mwanamke akicheat ujue mapenzi hamna yameisha hapo.
 
hahahahhahaha watoa ushauri mmenivunja mbavu jaman
 
My dear trulizana tu, huyo mmwanaume inawezekana amepata mtu mwingine ,sasa akawa anatafuta sababu ya kukuacha, kwa hio akatafuta kijana ambae atajifanya anakutongoza na ambae atahakikisha anarecord mazungumzo yoote mliokua mnaongea . wanaume wana mbinu nyingi sana za kumpiga mtu chini, huku wakijivua lawama. Jiulize swali moja aliwezaje kurecord mazungumzo yote mliyoongea na huyo kaka mwingine wakati hakuwepo eneo la tukio , endapo hakumtuma? Mbananishe huyo kaka ulieenda kuonana nae atakuambia ukweli. pole sana.

Sawa tuseme alimtengenezea chezo but why aende kumsikiliza mtu anaemuita kumtongoza,tayar ana point kwamba sio mwaminifu mana hata kama hakumtuma yy jamaa basi kuna wengine ambao ashaenda kuwasikiliza...angekuwa timamu angemwambia huyo bwana'ake anavyofatiliwa ila kwa7bu kichwa anafugia nywele ndo hayo yashamkuta.
 
"Hadithi" inasema kuwa mchumba wko alisikia kila kitu.
1.Kipi alichosikia kinachokupa wasiwasi? 😕
2. Inaonesha ulimkubalia huyo jamaa mwingine ndo maana mchumba wako hana stori na wewe.
3. Andika upya stori yako. Wewe unaonesha unaweza kuwa mtunzi mzuri
 
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman

ina mana mlikuwa mnatongozana? kweni mlikuwa mnaongea kitu gan hadi akuache? afu km hueleweki flani vle ebu funguka fresh
 
Nenda kanisan akishindwa bwana yesu sio chaguo lako......ukihitaji kulazimisha nenda kwa sangoma lakn ujue hakuna malefu yasiyo na mwishooooooo.
 
Hahahaaaaa mapenzi haya.....

sa we huyo mkaka ulienda kumsikiliza nini mlishindwa kusikilizana kwenye simu kweli!!!!!!

kuna mtu aliwahi kuniambia "Choices have consequences" sasa ndio hizo consequence waziface now

nenda nae taratibu tu though inauma kama hivyo ila anaweza kuja kukuelewa...........
Hata mimi nashangaa alienda kusikiliza nini,mwanamke uibomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe.
 
MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,

nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.

Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi nikaamua kukubali kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.

Bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu,kaniacha hataki kabisa kunisamehe na kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.

Naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gani anisamehe?

Hadi mama yangu kaniombea msamaha lakini mchumba wangu kakataa.

Nifanyeje? jaman nimechanganyikiwa.

Naomba msaada wa mawazo.

huyo mkaka ulipokutana nae alikueleza mambo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom