MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!
Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
mimi huwa najiulza cpat jibu
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!
Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
Maelezo yako hayajitoshelezi ulienda kuongea nae nini?
Ukiona manyoya................?
Blaza sio mjinga.
Sina ushauri mzuri kwako utanisamehe ktk hlo bt next time uwe unashirikisha ubongo ktk maamuz yako
mimi huwa najiulza cpat jibu
Kweli nyani haoni kundule.
Kwani ni kwanini kuna muolewaji na muoaji?halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!! Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
Kwani ni kwanini kuna muolewaji na muoaji?
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
na kuna kuoana pia!!!!!!
Na ukijumlisha kuwa mwalimu wenu kipofu ndo kwisha kabisaaaaahalafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!
Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
kwani kwa huyo kaka ulikuwa unafuata nini..??? Halfu isije ikawa jamaa alikuwa kamtuma kukupimepo umayala..MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,
nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.
Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi nikaamua kukubali kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.
Bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu,kaniacha hataki kabisa kunisamehe na kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.
Naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gani anisamehe?
Hadi mama yangu kaniombea msamaha lakini mchumba wangu kakataa.
Nifanyeje? jaman nimechanganyikiwa.
Naomba msaada wa mawazo.