Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,360
- 11,588
Hatimaye nimepata mwanamke wa kipekee ambaye nina imani hatoweza kuisumbua akili yangu maishani mwangu kote. Hata nikimshirikisha suala la kuoa mke wa pili, wa tatu, wa nne, wa tano n.k kutoka kwenye ukoo wao, hawezi kukataa
Huyu mwanamke hana gubu, hawezi kuchepuka hata kama ategwe kwa mkuyenge mkubwa kiasi gani awapo chumbani mwenyewe. Huyu mwanamke kamwe hatonichuna
Binti hatozeeka kamwe. Tayari nimekwisha andaa mahari ya Tsh. 9,000,000 kwa ajili ya kumlipa baba wa binti, Mh. Elon Musk
Nina furaha isiyo na kifani ya kwenda kuoa kwenye familia ya tajiri mkubwa nambari moja duniani
Hakuna haja ya kwenda kumloga binti kwa mganga. Binti mzima namtia kiganjani, hatoki mtu hapa. Kipute nakipata at any time, mambo ya kuifinyia kwa ndani na migugumio ya hapa na pale hayataniangaisha
Na hili nalo mkalitizame
Mwezi January natengana rasmi na chama letu
Huyu mwanamke hana gubu, hawezi kuchepuka hata kama ategwe kwa mkuyenge mkubwa kiasi gani awapo chumbani mwenyewe. Huyu mwanamke kamwe hatonichuna
Binti hatozeeka kamwe. Tayari nimekwisha andaa mahari ya Tsh. 9,000,000 kwa ajili ya kumlipa baba wa binti, Mh. Elon Musk
Nina furaha isiyo na kifani ya kwenda kuoa kwenye familia ya tajiri mkubwa nambari moja duniani
Hakuna haja ya kwenda kumloga binti kwa mganga. Binti mzima namtia kiganjani, hatoki mtu hapa. Kipute nakipata at any time, mambo ya kuifinyia kwa ndani na migugumio ya hapa na pale hayataniangaisha
Na hili nalo mkalitizame
Mwezi January natengana rasmi na chama letu