Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,288
- 18,571
Unaweza kuthibitisha hizi allegations?Kajiunga na dini ya master chin hai yule mama tapeli msagaji
Hivi sehemu gani hapa tanzania wanapika konokono vizuri?Wenzio wanakula hadi mishikaki ya mbwa na nyoka
π π π π !mie ng'ombe naweza acha...ila mbuzi hapana kwakweli....hapana...hahahaa ww kumbe ni kuku..dah..Hutaacha ..utakuwa unasogeza siku Tu za kuanza rasmi ... mpaka siku ya mwisho..
Mimi kuku wa kuchoma nimegundua sitaweza Acha kula hata vipi
Napenda sana watoto na hakika wananipenda pia, but hamna namna tena ya kuwa na watoto πOoh kwaiyo hutamani kuwa na watoto.
Nna kipindi kibovu sana...nataman ntaweza lakinjJitahidi upunguze zaidi.. iwe labda kwa wiki unakunywa 4. Haina faida kabisa kwako..
Binafsi sipendi soda kabisa, chupa la soda naweza kunywa 1hour++
That's it ππΎ kila mtu aishi maisha anavyotaka.Kwenye hii dunia kila mtu aishi anavyotaka, binafsi siwezi kuacha kula nyama...ni tamu sana. Hapa penyewe nimetoka kula ugali na kuku wa kienyeji.
Kuna rafiki yangu mmoja aliposti status ngamia akiwa anachinjwa kwa chini akaweka maneno kuwa hiyo video imemuumiza na hatokula nyama tena. Siku moja nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuuliza mzee vipi, si ulisema umeacha kula nyama? Akanambia "Naachaje kula nyama mzee!!?"πππ
Inakuwaje unamjua msagaji?? Tuanzie hapaKajiunga na dini ya master chin hai yule mama tapeli msagaji
Una problem?Napenda sana watoto na hakika wananipenda pia, but hamna namna tena ya kuwa na watoto π
Yehodaya mwezi mchanga usimuaminiYEHODAYA master chin hai ndio Nani?
Kabla sijakuunga mkono kwa uamuzi wako naomba kujua faida zake kimwili na kiroho pia...Habari ππΎ
Siku ya leo nikiwa natimiza miaka kadhaa nimekuwa VEGAN rasmi. Hatua hii nimekwisha ianza muda toka 28 January, hivi sasa naendeleza nadhiri hii rasmi katika mfumo wa maisha yangu.
Nimekuwa nikijiuliza utajiita vipi mwenye upendo, heshima au mtu unayejali hisia na kuheshimu wengine ikiwa umeshindwa kuheshimu uwepo wa viumbe wengine kama wanyama, ndege na wengineo?
Kwa kujali na kuona umuhimu wa kila kiumbe nimekuwa nikivijali viumbe vyote mfano, huwatengea waramba sukari kiasi chao pasi ya kuwapatia bugdha, uhifadhi mayai ya kuku na kutotoa wengine kuendeleza uzao wao, hutembea na wanyama mbalimbali katika maeneo kadhaa waweze kijihisi umiliki nk.
Leo nimepanda miti 28 maeneo yayonizunguka na miti 21 maeneo ya umma katika shule 2, hospitali, eneo la jeshi, kituo cha wasiojiweza na watoto waishio mazingira hatarishi na katika ofisi za wilaya.
View attachment 1766453
Nikiwa kama kijana anayezingatia maisha halisi leo ni wazi sitotumia tena bidhaa zinazotokana na wanyama na viumbe mbalimbali. Hili linaambatana na masuala kadhaa katika mfumo wangu wa maisha ninaoendelea kuufuata ikiwa ni pamoja na;-
- Sishiriki mapenzi (Sex)
- Situmii vinywaji kemikali (Processed Drink's)
- Situmii bidhaa zenye sukari ongezwa (Candy's)
- Situmii bidhaa zinafanywa majaribio kwa wanyama
- Nimejiweka mbali na uovu na negativity ya aina yoyote
- Sifungamani na upande wowote
Nahijisi mwenye furaha na amani, najiona mshindi. π
Sergio
Nope! Nipo Absolutely stable sina tatizo la uzazi wala ulemavu nipo kama yeyote aliyekamilika.Una problem?
Faida ni nyingi hakika maradhi ya sukari, shinikizo la damu, inflammation, matatizo ya ngozi, hali ya umakini, kutokuwa/kupunguza stress and so many more. Kiroho ni nguvu zaidi baina ya roho, nafsi, nature na muumba hakuna doubt wala vikwazo.Kabla sijakuunga mkono kwa uamuzi wako naomba kujua faida zake kimwili na kiroho pia...
Thanks so much! Paula π€Happy Birthday Sergio. I am genuinely happy for you.