Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Ntawauliza ila huwa nawaonea huruma mno maana wanapelekeshwa vibaya mno na riba sio rafiki kwao mpka natamani kuwakopesha, ila nao wajeurii mpka amsha amsha
Hao hata ukiwakopesha bila riba hawalipi.
Ni wana madeni kila kona, hata ukiwaelimisha kuhusu mikopo watakusikiliza ili wachukue pesa, wakishapata ndo nitolee hiyo
 
1. Usimkopeshe mtu mwenye gari bovu

2. Usimkopeshe mtu anayeendeshwa na mkewe/mumewe

3. Usimkopeshe mtu mwenye miradi mingi ambayo hamna hata mmoja uliofikia 50% ktk utekelezaji

4. Usimkopeshe mtu mwenye husda, wivu na kinyongo (NEGATIVITY)

5. Kati ya Mfanyabiashara wa Perishables na Non Perishables pendelea kukopesha wanao deal na Non Perishables

6. Usimkopeshe mtu usiejua/asiyejua lengo kuu la kukopa ni lipi

7. Kwenye kutathmini Business kuna Past/Current/Future
Jikite zaidi ktk kuangalia Current na Future

8. Obey your Guts, never deny a trivial redlight Indicator
 
Mi nitaanza azimisha pesa kwa kuweka mali ihamishikayo

Simu yenye risiti na box lake
TV yenye risiti

Ukishindwa baada ya muda tuliokubaliana imekula kwako
Riba itakuwa

Wiki 10pc
Mwezi 25pc mwisho ni mwezi 1

Utapata 50 ya thamani ya mzigo wako na hii itategemea uchakavu au muda iliyotumika

Thamani ya kitu itapungua kwa 25pc kwa mwaka kwa TV

30pc kwa mwaka kwa simu
 
Mwezi mmoja
Kwangu nakopesha kwa 20% kwa wiki.

Na wengine wanachukua hadi elfu 5 wanarejesha riba elfu 1 kwa siku.

wengine wanaojichanganya wanachukua elfu 10 wanaleta riba elfu 1 kila siku😅😅😅

mzee rikiboy mi sina muda wa kusubiri mwezi mzima. Naenda kwa wiki tu bas tumemalizana.

mtu mmoja tu akichukua laki 1 akarnda nayo mwezi mzima ananiletea riba ya 80%.
 
Mi nitaanza azimisha pesa kwa kuweka mali ihamishikayo

Simu yenye risiti na box lake
TV yenye risiti

Ukishindwa baada ya muda tuliokubaliana imekula kwako
Riba itakuwa

Wiki 10pc
Mwezi 25pc mwisho ni mwezi 1

Utapata 50 ya thamani ya mzigo wako na hii itategemea uchakavu au muda iliyotumika

Thamani ya kitu itapungua kwa 25pc kwa mwaka kwa TV

30pc kwa mwaka kwa simu
Karibu sana kwenye gem.

ushauri wangu:
usiruhusu kukopesha marafiki.
usiendekeze mapenzi kwenye hii biashara. Utapotea vibaya sana
simamia sheria uliyojiwekea, utafika mbali sana.
 
Wakuu ninashida sana ninaomba yeyote atakayeniwezesha mkopo wa 200k kwa mwezi mmoja anisaidie.Ahsante
 
Niliomba Mungu sana mwaka huu ninunue Kiwanja.
Maombi yametimia ndani ya miezi miwili tu.

sasa nawaza kupata milioni zaidi ya 5 za kujenga vyumba viwili na sebule ndani ya miezi sita.

Hii ndoto ya Ujenzi inaniumiza sana kichwa
 
Karibu sana kwenye gem.

ushauri wangu:
usiruhusu kukopesha marafiki.
usiendekeze mapenzi kwenye hii biashara. Utapotea vibaya sana
simamia sheria uliyojiwekea, utafika mbali sana.
Asante
 
Back
Top Bottom