Choo hakina maji mkuu. Nachota naingia nayo na kuoga. Chooni ndio humo humo bafuni
Nilitaka kumjibu the sameBabu siku hizi mbona choo na bafu kinakuwa sehemu moja.
Sasa kwa minini wanitumie chooni/bafuni na si chumbani?Ulitumiwa jini makata ila mzimu wako mkali Mkuu...wamefeli mno...pole ila jipange sasa.
Lina sitahimili harufu ya kule na ratiba ya kwenda huko ni lazima kwa mwanadamu,na nyepesi kufahamika.Sasa kwa minini wanitumie chooni/bafuni na si chumbani?
Wife anahema kwa kuwa dawa aliyokuwekea imedunda, atakufa yeye sasa kuna watu hawarogeki.Leo ahsubuhi wakati naenda kuoga nimeteleza na kuanguka kwa kishindo kikubwa nikiwa ndani chooni.
Nina afya nzuri kabisa. Sina pressure, wala tatizo la moyo.
Kuna dhana kwamba ukianguka chooni, unaweza kufa au kupata matatizo. Naona wife anahema sana. Kuna ukweli wowote kwenye hili.
Mshana Jr
Ushauri wangu: Anza kuogea chumvi ya mawe asubuhi na jioni ili kuharibu uchawi, nuksi na mikosi kama vipo mwilini. Na utumie siku 7 au hata zaidi.Leo ahsubuhi wakati naenda kuoga nimeteleza na kuanguka kwa kishindo kikubwa nikiwa ndani chooni.
Nina afya nzuri kabisa. Sina pressure, wala tatizo la moyo.
Kuna dhana kwamba ukianguka chooni, unaweza kufa au kupata matatizo. Naona wife anahema sana. Kuna ukweli wowote kwenye hili?
Mshana Jr
Ukiskia kuanguka chooni sio hivyo ulivyoangukaLeo ahsubuhi wakati naenda kuoga nimeteleza na kuanguka kwa kishindo kikubwa nikiwa ndani chooni.
Nina afya nzuri kabisa. Sina pressure, wala tatizo la moyo.
Kuna dhana kwamba ukianguka chooni, unaweza kufa au kupata matatizo. Naona wife anahema sana. Kuna ukweli wowote kwenye hili?
Mshana Jr
Kama umenusurika huko hakuna shida inaweza kukupata mbeleni hivyo ondoa hofu kabisaLeo ahsubuhi wakati naenda kuoga nimeteleza na kuanguka kwa kishindo kikubwa nikiwa ndani chooni.
Nina afya nzuri kabisa. Sina pressure, wala tatizo la moyo.
Kuna dhana kwamba ukianguka chooni, unaweza kufa au kupata matatizo. Naona wife anahema sana. Kuna ukweli wowote kwenye hili?
Mshana Jr
Kalio liko salamaNimeteleza mama. Kwa kishindo kikubwa kabisa mimeanguka. Nikafikia kalio na ningekuwa mzembe ningevunja mkono
Hakuna tatizo, hiyo ni ajali km ajali zingine. Ungeangukia kichwa (kisogo) huenda ungekata moto. Badilisha malapa hayoNimeteleza mama. Kwa kishindo kikubwa kabisa mimeanguka. Nikafikia kalio na ningekuwa mzembe ningevunja mkono
wee motherUnaweza kuanza kuandaa mirathi mapema mkuu,sio mbaya kukumbushana...
~kidding
Duh mkuu ataondoaje hofu wakati ushasema inaweza kumpata tena mbeleni?Kama umenusurika huko hakuna shida inaweza kukupata mbeleni hivyo ondoa hofu kabisa
Hapana hebu soma tena nimesema HAkuna shida....Duh mkuu ataondoaje hofu wakati ushasema inaweza kumpata tena mbeleni?