natumia madawa kutoka hospital ntapona 2 now ntaanza vaa mpira
natumia madawa kutoka hospital ntapona 2 now ntaanza vaa mpira
best kwanza kabisa,nirudishie lile smile na miwani yake na shati la njano!
mi mpk nimepata kazi ya kusoma ID bana wakati mabest zangu nawajua kwa avatar tu!
pili,hiv unaamini kuna mume wa mtu hapa!
ah mtu tu na baleghe mshindo zake anatuharibia swaumu zetu tu hapa!
Dah.... Yaelekea ww uko clean sana hujawahi hata kucheat
"kama unavyojua kwetu sisi wanaume kuvumilia kale kamchezo katupite ni vigumu"
Usiwasemee wenzio... Alaaaa!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
6--Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
7--Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
8--Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.
9--Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?
10--Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
natumia madawa kutoka hospital ntapona 2 now ntaanza vaa mpira