nimeamua niweke picha ya uume wangu

nimeamua niweke picha ya uume wangu

weka picha hiyo tukusaidie hasa kwa kuangalia stage yake
 
ukome usaliti....tena unatzka kuujustify kuwa huwezi vumilia.... Sasa subiri na mkeo akuletee gono...anyway uume wako hatutaki kuuona..upeleke hospitali
 
La kumsaidia ni kuanzisha mchango wa lambilambi ili pesa hizo zimsaidie mke wake (shemeji) alosalitiwa. Hilo gonjwa lazima limtoe roho.
 
acheni kumrushia mawe mwenzenu.nyinyi wenyewe wasafi?bora yeye amekuwa muwazi na amejuta kitendo alichokifanya.kijana ni borsa uende hospitali tu.pengine ni ugonjwa wa zinaa huo.huko ndio utapata tiba.na kitendo ulichokifanya usije ukakirudia.hali ni mbaya,magonjwa ni mengi.
 
Uliwaza kufumaniwa 2 ndo inge7bisha ugundulike ume saliti ndoa.? Poleee tafta mwauguzi fasta.
 
Ndo ukome sasa kutoka nje ya ndoa madhara yake ndo hayo
Kwani ulishindwa kuvumilia wiki mbili mpaka ukaisaliti ndoa
Angalia na hapo usimuambukize na mke sasa
Dah.... Yaelekea ww uko clean sana hujawahi hata kucheat
 
katafuta nyama kala kavu kavu????mweee nyie wanaume mkojeeeee??jamani mnatuletea magonjwa hivi hivi.manina zako wewe appoh

Nakutafuta ujue? Tangu unirushie neno msibani kwa Mtambuzi mtima wangu upo harijojo Raiza. Ole wako na ww ungesema unataka kuuona uume wake...
 
Last edited by a moderator:
Ndio ujue nyama nyingine hazistahili kuliwa ni bora kulala na njaa. Omba hiyo nyama uliyokula isiwe chanzo cha wewe kurudisha namba. Pole sana na kawaone madaktari haraka sana ili wakusaidie maana "Mficha ugonjwa......"
 
We zero kweli. Yaan unaomba ushauri wakati unaona vipele vinaongeza kila siku BADALA YA KWENDA KWA HOSPITALI?? U MUST BE KIDDING. UNATEGEMEA KUPEWA USHAURI GANI ZAIDI YA HUO??
 
mme wa mtu,umetafuta malaya
umeenda nae kavu,kama una mapele
hata ukimwi unaweza kua umepata,ndio
ukome,tena angalia usijemuambukiza mkeo!
mshahara wa dhambi mauti!

 
habari wana jf mimi ni kijana mwenye famili ya mke na watoto 2 mke hiv karibuni kama mwezi na nusu amesafiri kama unavyojua kwetu sisi wanaume kuvumilia kale kamchezo katupite ni vigumu basi ikabidi ningie uraiani kusaka nyama baada ya muda naona kuna vipele kwenye uume wangu it seem like vinaongeza everyday oooh am real scare na najuta kucheat hivyo ndio maana nikaamua niweke picha ya uume wangu hapa jf ili muweze kupata picha a hk ninachowaeleeza msaada hu ni ugojwa gani
pole sana........ila ndo iwe mwanzo wa kujifunza siku nyingine usikurupuke.......ingekuwa vizuri zaidi kama hayo maelezo uliyoyatoa hapa ungeenda hospital kumweleza daktari umuonyeshe na huo uume wako....i think this is the best way!
 
appoh si juzi ulisema mdogo mtu kaja anataka kuishi nanyi, ndio huyo aliekupa matatizo?

ila na siku moja ulisema umetamani msichana kwa kumuona coco beach, sasa kwa nini uliamua kuishi na girlfriend wako wakati bado haujatulia? ulisema na vitu vya ndani ndio ulianza kununua, kazi nayo umepata juzi hata miezi sita I guess hauna.

sasa wewe mwanaume unataka nini duniani? acha tamaa mrudishe binti kwao, wewe rudi kwa wazazi bado haujala raha ya maisha.
 
Last edited by a moderator:
Kaka pole sana kwa yaliyokukuta, Unakumbushwa tu hukufanya kitu sahihi.

Kwa kweli tuna janga kwenye ndoa, Watu tunaamini kuwa hatuwezi kuvumilia kwa kiasi kifupi namna hiyo? ANY WAY AS THE MAN THIKETH, SO HE IS. ukifikiri huwezi kuvumilia kwa siku moja, nayo itakuwa kwako hivyo. ukifikiri na kuamnini una full control ya mwili wako, nawe utakuwa hivyo hivyo.

Chochote mtu anachokifanya kinategemea na kitu anachoamini, kitu anavyoamini kinategemea na kitu anachojua, kama unataka kubadili matendo yako, anza kwanza kufungua akili yako kujifunza vitu vipya, navyo vitabadili namna unayoamini, hatimaye itabadili matendo yako na utazidi kuwa bora kila wakati.

Achana na mawazo ya kipuuzi kuwa mtu hawezi kuvumilia, mtu hawezi kukaa na mke wake pekee bila kuiba, etc etc, you dont need to be like every body else, you are created unique and so live your uniqueness.

Tafadhani muone dkta mapema. and stop believing you cant. feed yourself with right infomations and be critical of your lusts. ''we are who we are from the choices we make in life, if we dont like ourselves, we need to change our choices and actions''
 
Du jenga tabia ya kuogopa matatizoya muda mrefu, yasiyoonekena kwa sasa, usiogope vipele ogopa ngoma. Unafikiria kirahisi mno, kwa dunia yasasa bora kutocheat, ama ukicheat bora tumia kondomu, vinginevyo utakuwa mwendawazimu
 
Naona mashine ya mtu imepata upele na kupukutika kabisa...in fwakti imekuwa invizibo ndio maana hatuioni.Mkuu nenda ukaonane na matabibu upate tiba.
ahahahaahhahaha mtani huo uginjwa aliopata unaitwa pangusa!
SASA NDO UMEPANGUSA mpka ..................haionekani tena!
ahahahahhahahhaha
 
hv ulifikir yale mabao sita uliyopiga siku ule mtaa mzima wakakubishia ilikuwa mchezo!
sasa ukishamaliza kuiweka hiyo picha hapa JF wapitie wale woooote waliokuwa wanakubishia siku zile mwayego!
waonyeshe!
sa hz wataamini!
 
Back
Top Bottom