tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
wachape kazi wapi?waajiriwa mishahara midogo,wafanya biashara wa kati wanabanwa kila kona,wafanyabishara ndogo2 kila kuchicha wanafukuzana na mgambo,kwenye madini wawekezaji ndo wenye umuhimu,wazawa hawana chao,waokula nchi ni viongozi na wafanyabiashara wakubwa ambao wengi wao ni viongozi na watoto wao,sasa huyo wa kuchapa kazi ni wa wapi?Mkuu..
Wajinga ndio waliwao, badala ya kuhamasisha watu wajitume kwa kuchapa kazi kwa maendeleo ya taifa wao wanahamasishamapambano na serikali