Nimeamua kuwa Atheist

Nilijua tu ujinga ndio title kubwa leo!

Unataka Mungu aje kujitetea ila hitaki oxygen ije kujitetea, si tunaoongelea invisible things au! Wewe una amini oxygen ipo au kwa sababu sayansi imekuthibitishia hilo? Basi na mimi nasema Mungu yupo kwa sababu imani yangu imethibitisha hilo!
 
Wapi nimetaka Mungu aje kujitetea?

Wewe ni mjinga hata kusoma kwa ufahamu hujui.
 
Viumbe visivyoonekana tena kama nini mapepo? Maana ulipoingia huko kuna list ya vitu hutakiwi kuviamini hiyo ni desturi yao.
 
Nijiulize kitu ambacho kimethathibika kwa waumini wengi nikiwemo mimi? Haya mambo sio dhahania, inakupasa kushiriki ili kuyaelewa! Tofauti na hapo utajiona uko sahihi sana!
Unaelewa maana ya kuthibitika kweli?

Kama ni hivyo yakawaje tena ni mambo ya imani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…