Nimeamua kutoka nyumba kubwa na kuingia nyumba ndogo

Mie mwanamke!

good.
kula sana ujana wako mwaya maana uzeeni ni kukuna sharubu tu.
maisha hayatabiriki......unaweza suka au nyoa but kama wakwanza alikuwa msumbufu, PIGA CHINI. songa mbele, hakuna anayependa shida
 
Pole Dear,
Ila jitahidi na huko nyumba ndogo yasijirudie
yaleyale ya kule kwenye nyumba kubwa sawa bi mkubwa.
 
Nyumba ndogo hazijengi hata kidogo. Kaa na mwenzio muondoe tofauti zenu na muendeleze familia. Matatizo hayaishi kwa kuyakimbia bali ni kukaa chini na kuyatafutia ufumbuzi. Acha kukwepa majukumu wewe!
 
Nyumba kubwa sirudi kamwe I swear jinsi nilivyoumia ni mpaka niwe nyumba ndogo kwanza kwa muda then ndio niwe single parent, hapo ndio nitaweza kujisamehe kwa kosa la kupenda nililowahi kufanya
Huko unakotaka kuhamia unajuaje hutapata maumivu?Kuna nyumba ndogo tunazijua zinanyanyaswa ile mbaya,Nakushauri tulia uishi pekee.
 
nimekupendajeeeeeeeeeeeeeeeee ashangedere loh! raha jipe mwenyewe babu usisubiri kupewa
 
Kwa hiyo hapa unamaanisha unatema jojo kwa karanga za kuonjeshwa or ..Nyumba ndogo huwa za musimu tu
 
Duh! asara tupu,subiri pesa zikuishie huko nyumba ndogo ndio utajua mapenzi ya kweli yako wapi......Usiache Mbachao...
 
Mi siungani na wewe hata kidogo. Kama nyumba kubwa had problems, bora ungeishi pekeyako na kama unao watoto basi uwalee tu wanao na later uje kuwa kimbilio na tulizo lao!Hiyo nyumba ndogo huwezi kuwa na uhakika kama itadumu au histori itajirudia!

Utaliaje?
 
Nilishawahi kusikia wanaume wakisema nyumba ndogo haioleki ibaki kuwa nyuma ndogo. Mi naomba bada ya mwaka utupe feedback baba ya huku ulikokwenda! mana uzuri nyumba ndogo u dont share everything kama ulivyosema maraha, je umejiuliza what will happen mkianza kushare kila kitu! tehe tehe!!!! Bon voyage!
 
Watoto wangu nawalipia ada mwenyewe tena kwa marefu na mapana hata nisipopata back up namanage maisha yangu mahitaji yote vizuri sana,, lakini lazima niwe nyumba ndogo kwanza ndio baadae nije kuwa single, roho yangu ndio itatulia.

Dahhh, am umedhamiria....sasa hapa atayekomoka ni nani yarabi?
namuonea huruma mke wa fulani hapa, maana duuuhhh!
usitende usilopenda kutendewa...
 
Ashadii kwenye haya mapenzi we have so many theories that are not necessarly working, but at the end of the day I think happiness is the output everyone is looking for, I have decided to find my happiness in that way, and im sure it will work for me. kwanza ninahasira nimekuwa nikitafuta muda wote and wanawake wengine wa mume wangu wamekuwa wakitumia sana nilivyovitafuta mimi kwa jasho langu, sioni huruma coz hakuna aliyenionea huruma.


Nakubaliana na hayo maneno yako... BUT Most women are strong and best Single parents, I know we need a touch of a Man once in a while - but tokana na historia yako ya Mapenzi na Maumivu ulopitia ulitakiwa u-relax kwanza. One thing is for sure hata kama twasema wanawake na wanaume haki sawa; there are things we can never compete na tukaonekana sawa - hasa la kubadilisha sex partner... Ilitakiwa utulie kwanza, tafakari, focus na tafuta sababu nyingine ya kuishi nje ya kujipenda na kupenda watoto wako... Tafuta kitu ambacho kitakufanya uwe focused. NDIO Kua nyumba ndogo yaonekana ndo the best solution kwa sasa.... But are you telling me you can not stand as a Single woman?? You can not exist na fare without a Man?? That you can not support your Kids ambao uliweza wabeba miezi tisa ukawaza in the only possible way Mungu alijilia mwanamke pekee apitie?? If most being a mother is GREAT and it builds us women up.... Na part ya kua built ni being able to stand as a woman na Most importantly kama Mwanadamu....

Your post has some finality in it.... Na kama alivo sema King'asti, you can not love it till you dwell there... yaweza onekana rahisi but deep down i believe pamoja na hasira yako, pamoja na dissapointments zako.... You are still a woman at heart....
 
Back
Top Bottom