Nimeamua kutoka nyumba kubwa na kuingia nyumba ndogo

Ashangedere

Senior Member
Aug 9, 2010
119
31
Kama nyumba ndogo ndio inachukua most of the good times
Nyumba ndogo ni ya kufurahi na kutumia na sio kutafuta
Nyumba ndogo ni maraha kwa kwenda mbele hakuna kutukanana wala kudharauliana ni full kuspend

Nina sababu gani ya kuwa nyumba kubwa:-
kusumbuana kuhusu ada za watoto, matumizi
kusumbuana sijui mama anaumwa nenda kakae nae umtibie
kusumbuana oohh sijui uko wapi sitaki uwe na urafiki na yule na huyu
ohh sitaki ufanye kazi hii na masharti kibaooo

NIMEAMUA NATOKA NYUMBA KUBWA NA KUINGIA NYUMBA NDOGO AND I LOVE IT!......
 
Kama nyumba ndogo ndio inachukua most of the good timesNyumba ndogo ni ya kufurahi na kutumia na sio kutafutaNyumba ndogo ni maraha kwa kwenda mbele hakuna kutukanana wala kudharauliana ni full kuspendNina sababu gani ya kuwa nyumba kubwa:-kusumbuana kuhusu ada za watoto, matumizikusumbuana sijui mama anaumwa nenda kakae nae umtibiekusumbuana oohh sijui uko wapi sitaki uwe na urafiki na yule na huyuohh sitaki ufanye kazi hii na masharti kibaoooNIMEAMUA NATOKA NYUMBA KUBWA NA KUINGIA NYUMBA NDOGO AND I LOVE IT!......
yaani asha ngedere kumbe huna akili anaekusumbua kuhusu ada za watoto nani? watoto si wa kwako au ? kama hutaki kusumbuliwa jan ikifika nenda shuleni kwao lipa ada ya mwaka mzimasasa unakimbia familia unaennda kwa hawara kutumia ada ya watoto? ni akili kweli rudi nyumbani wewe au mpm the boss akupe ushauri nasaha wa kuishi na small house kabla hujarudi hapa ukipiga mayowe
 
Pole Saana Asha.... Na pole pia na misuko suko ya Mapenzi unayopitia kila siku; Walau of all the members wapitao hapa kutoa matatizo yao au maamuzi yao, yako yapo consistent ila tu nimesikitika ni hapa ulipofika... Unaingia katika janga ambalo itakua ni furaha kwako Lakini kilio kwa your fellow woman.... Labda kwa wengine kuweza kukuelewa waelewe mtiririko wa Matatizo yako.....

Topic A - Naomba kujuzwa kipi cha ajabu

Huwa napata na mshangao siku hizi ninaposikia watu wakiwasema wenzao eti kisa wameamua kuachana na mke au mume, na kuwaona kama ni malaya kwa maamuzi hayo, kuna watu wanamsema kwa mfano JLO eti kwa nini amedivorce, hivi kweli jamani sisi kama great thinkers tunaona ni vema kuishi na mtu ambaye humpendi tena ambaye umejaribu kila njia kumuweka moyoni tena na umeshindwa?? je ni haki kuishi na mke/mume ambaye unajua fika anatoka na mtu mwingine nje ya ndoa, ni haki kuvumilia mtu unajua kabisa hakupendi?? sisi kama great thinkers tufike mahali tukubali maamuzi ya watu ambayo yako wazi na ndio wanachojisikia moyoni, ndio maana ndoa nyingi zimejifia siku nyingi lakini watu wanang'ang'ania kwa sababu wanaogopa jamii. kuna thread nimeona wanamtupia madongo jlo, lakini huyu dada naona ni bora kaacha kwanza ndio kaanza hayo mahusiano yake mapya, wangapi humu ndani mnacheat halafu mnajifanya wanandoa, hiyo ndio mungu anapenda?? binafsi napenda style ya JLO coz anafuata moyo wake na ndio raha ya maisha, jamani tunaishi mara moja tu, tabu ya nini?? kama hayajakukuta mshukuru mungu wako na endelea kuomba uendelee kuwa na upendo kwa umpendae nae akupende pia, je umewahi kujiuliza mwenzako akikuchukia kabisa na akataka kukuacha utafanyaje?? utakubali au utaiganda hiyo ndoa, maana huyo ni binadamu na anaweza kubadili akili saa yoyote, hata hivyo vitabu vimesema ndoa yaweza kuvunjika kwasababu ya kukosa uaminifu lakini kuna watu wameng'ang'ania tu kuvumilia huku wakisingizia kiapo walichokula, au labda tuongeze phrase kwenye kiapo cha ndoa tuseme kwenye kuchepuka pia tuvumilie...

This was my answer to you then....

Ashangedere… Umeongea kwa emotions saana thou umetumia J-Lo kama kivuli… Kuachana hakupendezi kabisa.. na tatizo sio kuachana katika jamii ya leo hii…. Tatizo limekua ufinyu wa ustahimilivu wa wanandoa na kukosa simile… maamuzi ya kuachana yako mdomoni badala ya tumboni… yakiwa tumboni inakua bora saana for mpaka ya tumboni yafike mdomoni… kazi ipo…

Kumekua ushindani mkubwa saana kati ya spouses… mke anataka kujiona yeye ndio yeye… mume nae hivo hivo… competition katika kila kitu… kila jambo … matendo na maamuzi pia, ndio maana lawama hizo zinakuwepo… Watu wanajidanganya saana kwa kufikiri kua akianachana na alo nae basi atapata bora zaidi… Sio kweli… wanadamu wooote wafanana.. in the sense wooote sio perfect na kuishi na kila mmoja inabidi u – compromise… However kuna mambo hayavumiliki ambapo kuachana kwa kweli is the only solution….
.

Topic B - Natafuta Mtaalamu wa Mambo ya Mahusiano, Matatizo yangu ni Makubwa, tafadhali nisaidieni

Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi) japo niliambulia ulcers na BP na wala hakujali. sasa ukafikia wakati mwanzoni mwaka huu moyo ukakataa kabisa yani najitahidi kuwa na hisia za mapenzi na huyu mme wangu lakini wapi yale yote ya nyuma yanajirudia!! sasa ndio kashtuka na mimi moyo umegoma kabisaaaaa yani yeye ndio amekuwa kama mimi nilivyokuwa zamani yani hatulii kwa wivu na kuumwa roho lakini mimi mapenzi kushney nikimuangalia najiuliza hivi nilimpendea nini?? namuonea huruma anavyohangaika lakini roho yangu haitaki tena, nahitaji mtaalamu anishauri sijui kama nataka hii ndoa au siitaki kifupi sijielewi ila najua kuwa mapenzi ya hisia kutoka kwangu kwenda kwa mwenzangu hakuna, japo simchukii namuona kama ndugu yangu hivi...


Swali langu kwako.... Huu uamuzi wa leo, ni tokana na ulivoshauriwa na LOVE DOCTOR ama tu that is what you want?? Maana kama wafanya sababu tu umeambiwa it is right.... Then dear you are in a long hard haul....
 
Aksante AshaDii sasa umeniweka katika picha. Nimemwelewa Ashangedere pole mamii but nakushauri tu kama umepata ujasiri wa kuingia kwenye nyumba ndogo, basi ningekuomba uutumie ujasiri huo kuishi mwenyewe as in Single parent.
 
Aksante AshaDii sasa umeniweka katika picha. Nimemwelewa Ashangedere pole mamii but nakushauri tu kama umepata ujasiri wa kuingia kwenye nyumba ndogo, basi ningekuomba uutumie ujasiri huo kuishi mwenyewe as in Single parent.

I swear im not going to regreat< nilipenda sana and I was never loved back now its my time to receive, I WILL NEVER BE HURT COZ I WILL NEVER LOVE, I will only receive.
 
dahhhh pole sana ..

lakini kumbuka hatujui ini kinakuja kesho dear ..
na sijui na huku mambo ya kiharibika utarudi kwenye nyumba kubwa au ..

anyway .. Kila lakheri na uamuzi wako , kwani wajua ni nini kizuri kwako..
 
Ahsa Ngedere... ndoja nichakachue akili kwanza. Maana sijaelewa nyumba kubwa inaposusa majukumu na kwenda kuwa nyumba ndogo... Hivi nyumba kubwa zote ama nyingi zikihamia kuwa nyumba ndogo watu watapona kweli? Bado najiuliza hapo... halafu labda nitarudi kusema.
 
Pole Saana Asha.... Na pole pia na misuko suko ya Mapenzi unayopitia kila siku; Walau of all the members wapitao hapa kutoa matatizo yao au maamuzi yao, yako yapo consistent ila tu nimesikitika ni hapa ulipofika... Unaingia katika janga ambalo itakua ni furaha kwako Lakini kilio kwa your fellow woman.... Labda kwa wengine kuweza kukuelewa waelewe mtiririko wa Matatizo yako.....

Topic A - Naomba kujuzwa kipi cha ajabu



This was my answer to you then....



Topic B - Natafuta Mtaalamu wa Mambo ya Mahusiano, Matatizo yangu ni Makubwa, tafadhali nisaidieni




Swali langu kwako.... Huu uamuzi wa leo, ni tokana na ulivoshauriwa na LOVE DOCTOR ama tu that is what you want?? Maana kama wafanya sababu tu umeambiwa it is right.... Then dear you are in a long hard haul....

Ashadii kwenye haya mapenzi we have so many theories that are not necessarly working, but at the end of the day I think happiness is the output everyone is looking for, I have decided to find my happiness in that way, and im sure it will work for me. kwanza ninahasira nimekuwa nikitafuta muda wote and wanawake wengine wa mume wangu wamekuwa wakitumia sana nilivyovitafuta mimi kwa jasho langu, sioni huruma coz hakuna aliyenionea huruma.
 
dahhhh pole sana ..

lakini kumbuka hatujui ini kinakuja kesho dear ..
na sijui na huku mambo ya kiharibika utarudi kwenye nyumba kubwa au ..

anyway .. Kila lakheri na uamuzi wako , kwani wajua ni nini kizuri kwako..

Nyumba kubwa sirudi kamwe I swear jinsi nilivyoumia ni mpaka niwe nyumba ndogo kwanza kwa muda then ndio niwe single parent, hapo ndio nitaweza kujisamehe kwa kosa la kupenda nililowahi kufanya
 
I swear im not going to regreat< nilipenda sana and I was never loved back now its my time to receive, I WILL NEVER BE HURT COZ I WILL NEVER LOVE, I will only receive.

Je huyo nyumba ndogo ambae anaenda kuwa nyumba kubwa soon
anajua kwamba huta kaa umpende?? na unajizuia vipi kutompenda mtu ..??
na unauhakika gani huyo nyumba ndogo sasa atakupenda kama we
haumpendi??

Asante..
 
Sasa akiwa single parent atakwepa hizo ada za wanae? Manake mwanaume akiachwa mostly anakuwa hopeless jumla! Na uchumu mdororo haukawii kumkumba! Utaacha kulipia ada wanao bidada,mwisho wakaishie kutanga na dunia?
Aksante AshaDii sasa umeniweka katika picha. Nimemwelewa Ashangedere pole mamii but nakushauri tu kama umepata ujasiri wa kuingia kwenye nyumba ndogo, basi ningekuomba uutumie ujasiri huo kuishi mwenyewe as in Single parent.
 
yaani asha ngedere kumbe huna akili anaekusumbua kuhusu ada za watoto nani? watoto si wa kwako au ? kama hutaki kusumbuliwa jan ikifika nenda shuleni kwao lipa ada ya mwaka mzimasasa unakimbia familia unaennda kwa hawara kutumia ada ya watoto? ni akili kweli rudi nyumbani wewe au mpm the boss akupe ushauri nasaha wa kuishi na small house kabla hujarudi hapa ukipiga mayowe

For your information nimekuwa nalipa hizo ada mwenyewe, matumizi mwenyewe plus kumlisha huyo bwana mwenyewe so imagine nikiwa nyumba ndogo, napewa vyote hivyo na watoto sio wake tena ni 1 call tu hakuna kusumbuana ada matumizi yanaletwa fastaaa, maana anajua akiharibu zitafika
 
Je huyo nyumba ndogo ambae anaenda kuwa nyumba kubwa soon
anajua kwamba huta kaa umpende?? na unajizuia vipi kutompenda mtu ..??
na unauhakika gani huyo nyumba ndogo sasa atakupenda kama we
haumpendi??

Asante..

Atajijua mwenyewe I hate men, I have nothing to loose ajue asijue yote sawa tu.
 
For your information nimekuwa nalipa hizo ada mwenyewe, matumizi mwenyewe plus kumlisha huyo bwana mwenyewe so imagine nikiwa nyumba ndogo, napewa vyote hivyo na watoto sio wake tena ni 1 call tu hakuna kusumbuana ada matumizi yanaletwa fastaaa, maana anajua akiharibu zitafika
kumbe wewe mwanamke? sory nilidhani mwanaume bwanakweli mwaya tafuta faraja ya moyo wako
 
Back
Top Bottom