Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji(Malawi) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.

Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.[/QUOTE]
thanks brother kwahii kituu nilikuwa nawaza ntaanzajeee kulimaaa nimepata mwangaa sasa ,.
 
nauliza mbegu nzuri za mahindi kwa kilimo ni zipi na zinapatikana wapi, hasa yale mahindi makubwa na marefu
 
Mkuu, napenda kujua gharama za kulima mahindi.
kukodi shamba hekari moja ni shilingi ngapi?
mbegu bora shilingi ngapi?
gharama za mbolea, kupalilia etc
 
Naombeni msaada tafadhali mwenye uzoefu na kilimo cha mahindi Moshi... Naomba kujua formula(umbali mche na mche) itakayonipelekea kuvuna kiwango kikubwa kwa heka moja..
 
Hoja yako ni poa sana mkuu... tatizo umeileta muda kupendana aiseeee....
Mkuu ebu vumilia maana hii mida wakulima wengi ndio wanamalizia kukitupa cha pili kwa shemeji zetu
 
mkuu nimekuwa nikilima mahindi kila mwaka toka mwaka 2012 lakini gharama alizoweka mtaalam hapo ni tofauti kabisa na huku kitaa
 
Nipo tanga wakuu naomba kujuzwa ni sina gani ya mbegu inayostawi vizur ukanda huu mana naskia kuna mbegu bora sina nyingine na zna Tija kuliko mbegu za asili.

Naomba wakulima mnijuze
 
Fika uyole kilimo pale au tafuta contact zao
mmhh uyole si iko mbeya mkuu?

Ebu afanye kwenda ofisi ya kilimo katika wilaya anayotaka kulima, ndo jukumu lao watakupa update za kila kitu kuanzia kuandaa shamba hadi kuvuna tunaita seed to seed ( ni imani yangu watasimama na wewe kila hatua ya shamba lako kama kweli una nia ya kulima).
 
Fika uyole kilimo pale au tafuta contact zao
Duuh! hatari kwelikweli. Mtu yupo Tanga halafu aende hadi Uyole kuulizia mbegu inayofaa Tanga! hatari kweli kweli. Mwambie aende TFA pale karibu na Mkwakwani Stadium watamshauri mbegu inayofaa kulingana na lilipo eneo lake maana hata Tanga inahali ya hewa tofauti tofauti kulingana Wilaya alipo.
 
Asante,mkuu
 

Bro naomba unitafute my [HASHTAG]#0621073599[/HASHTAG] [HASHTAG]#0738640020[/HASHTAG] i could use ua help...thank u
 
TANGA SEHEMU GANI?TUMIA DK 8031 NDYO MDA WAKE IKISHAFIKA TAR 20 APR TUMIA SHUTKA NI YA MDA MFUPI
 
Mbegu ni Dk 80..90 ila Mvua iwe ya kutosha
Mbegu za DK Zina mazao mengi, shida sasa ni unga wake ni mwepesi sana, hivyo hutumia unga mwingi kupika ugali wa watu WACHACHE.
Kwa Tanga ambapo ni pwani, tumia Seedco 403, mahindi yake ni mazito, na pia ya muda mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…