Salamu kwenu wakuu.
Nipo kwenye plan ya kulima mahindi sumbawanga kwa msimu ujao.
Kwanini iwe SUMBAWANGA?
Nimeichagua SUMBAWANGA kwa kuwa inasifika kwa kuwa mahindi na maharagi hayamtupi kabisa mkulima.
Sasa Mimi ni mgeni kabisa huko,basi kama yasemwayo ni kweli nipo hapa kupata maoni ni kona ipi ya SUMBAWANGA ndo itakuwa the best? Ili kati ya June au July niende nikasurvey kabisa.
Nitashukuru sana kwa michango yenu.
Nipo kwenye plan ya kulima mahindi sumbawanga kwa msimu ujao.
Kwanini iwe SUMBAWANGA?
Nimeichagua SUMBAWANGA kwa kuwa inasifika kwa kuwa mahindi na maharagi hayamtupi kabisa mkulima.
Sasa Mimi ni mgeni kabisa huko,basi kama yasemwayo ni kweli nipo hapa kupata maoni ni kona ipi ya SUMBAWANGA ndo itakuwa the best? Ili kati ya June au July niende nikasurvey kabisa.
Nitashukuru sana kwa michango yenu.