Naomba ushauri kuhusu kilimo cha miti Mkoa wa Ruvuma

Abie

JF-Expert Member
Jul 15, 2021
260
471
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Iko hivi am about 36 now na kila nikiwaza after 20 years nitakuwa na maisha gani kwa maana kiuchumi, sipati jibu sahihi. Pia kila nikiwaza hivi viumbe ninavyoendelea kuvifyatua (na of course speed yangu nzuri) wakikua watakuta nini cha kujivunia kutoka kwa baba yao (mimi) sipati jibu sahihi pia. Nahisi watanitukana sana hawa watoto kimoyomoyo kwamba dingi alizingua sana wakati wa ujana wake.

Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na miongozo kuhusu hiki kilimo cha miti maana ndio fursa ninayoifikiria kwa sasa. Nafikiria kufanya hiki kilimo maeneo ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma so kwa wataalamu wa miti na hali ya hewa, ni miti gani inaweza kukubali kwa maeneo haya? Shamba lipo kama heka 30 nafikiria by 2025 nipande hizo heka. So kabla sijakurupuka naombeni ushauri na maelekezo yenu wadau karibuni sana.
 
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Iko hivi am about 36 now na kila nikiwaza after 20 years nitakuwa na maisha gani kwa maana kiuchumi, sipati jibu sahihi. Pia kila nikiwaza hivi viumbe ninavyoendelea kuvifyatua (na of course speed yangu nzuri) wakikua watakuta nini cha kujivunia kutoka kwa baba yao (mimi) sipati jibu sahihi pia. Nahisi watanitukana sana hawa watoto kimoyomoyo kwamba dingi alizingua sana wakati wa ujana wake.

Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na miongozo kuhusu hiki kilimo cha miti maana ndio fursa ninayoifikiria kwa sasa. Nafikiria kufanya hiki kilimo maeneo ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma so kwa wataalamu wa miti na hali ya hewa, ni miti gani inaweza kukubali kwa maeneo haya? Shamba lipo kama heka 30 nafikiria by 2025 nipande hizo heka. So kabla sijakurupuka naombeni ushauri na maelekezo yenu wadau karibuni sana.
Ni wazo zuri!

Kwa ushauri wangu usio wa kitaalam, eka kumi panda miti aina ya mitiki, kama inakubali huko. Itavunwa baada ya miaka kama kumi na tano hadi ishirini hivi. Kipindi hicho, kama soko litakuwa zuri, inaweza ikakupatia si chini ya bilioni moja.

Eka zingine kumi, panda miti ya matunda, lakini baada ya kushauriana na wataalam wa kilimo kama aina ya matunda utakayopanga kupanda itakubali huko. Fimiria kupanda parachichi na maembe, kama inakubali huko.

Eka kumi zilizobaki, panda aina nyingine ya miti ya mbao au nguzo, mfano, mikaratusi, n.k.

Kwa kuongezeka, unaweza ukaweka na mizinga ya nyuki humo shambani ili alau uwe unavuna asali kila baada ya kipindi fulani.
 
Ni wazo zuri!

Kwa ushauri wangu s
Usionwa kitaalam, eka kumi panda miti aina ya mitiki, kama inakubali huko. Itavunwa baada ya miaka kama kumi na tano hadi ishirini hivi. Kipindi hicho, kama soko litakuwa zuri, inaweza ikakupatia si chinieya bilioni moja.

Eka zingine kumi, panda miti ya matunda, lakini baada ya kushauriana na wataalam wa kilimo kama aina ya matunda utakayopanga kupanda itakubali huko. Fimiria kupanda parachichi na maembe, kama inakubali huko.

Eka kumi zilizobaki, panda aina nyingine ya miti ya mbao au nguzo, mfano, mikaratusi, n.k.

Kwa kuongezeka, unaweza ukaweka na mizinga ya nyuki humo shambani ili alau uwe unavuna asali kila baada ya kipindi fulani.
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri. Nitaufanyia kazi
 
Wakuu salaam.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Iko hivi am about 36 now na kila nikiwaza after 20 years nitakuwa na maisha gani kwa maana kiuchumi, sipati jibu sahihi. Pia kila nikiwaza hivi viumbe ninavyoendelea kuvifyatua (na of course speed yangu nzuri) wakikua watakuta nini cha kujivunia kutoka kwa baba yao (mimi) sipati jibu sahihi pia. Nahisi watanitukana sana hawa watoto kimoyomoyo kwamba dingi alizingua sana wakati wa ujana wake.

Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na miongozo kuhusu hiki kilimo cha miti maana ndio fursa ninayoifikiria kwa sasa. Nafikiria kufanya hiki kilimo maeneo ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma so kwa wataalamu wa miti na hali ya hewa, ni miti gani inaweza kukubali kwa maeneo haya? Shamba lipo kama heka 30 nafikiria by 2025 nipande hizo heka. So kabla sijakurupuka naombeni ushauri na maelekezo yenu wadau karibuni sana.
Hongera mkuu,ila kwa sasa tunatoka kuwekeza miti ya mbao kwenda miti ya matunda,kaa waza kuanzia running costs plus muda. Unahitaji msaada wa kitaalamu sio wa kimuhemuko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom