Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,351
- 8,087
Habari wana JF,
Kutokana na kazi kuwa ngumu kupatikana hata watu wa masterz wameamua kuficha magamba yao wakati wanaomba kazi. Wanakuwa na masterz lakini wanaomba kazi za ordinary degree na tunajikuta tulio na degree za kawaida wanatufunika.
Kwa kulitambua hili, na kwa kuwa katika kazi yangu ya sasa nabanwa sana na siwezi kwenda shule, nimeamua kutafuta mtaala wa masterz na kujifundisha mwenyewe katika desktop yangu ili niende nao sawa.
Sasa nilikuwa naulizia ni mtaala wa chuo gani naweza kuutumia kwa urahisi katika kujitraini ili nijipe hiyo masters, na baadae kujitengenezea cheti na kujifanyia graduation.
Kutokana na kazi kuwa ngumu kupatikana hata watu wa masterz wameamua kuficha magamba yao wakati wanaomba kazi. Wanakuwa na masterz lakini wanaomba kazi za ordinary degree na tunajikuta tulio na degree za kawaida wanatufunika.
Kwa kulitambua hili, na kwa kuwa katika kazi yangu ya sasa nabanwa sana na siwezi kwenda shule, nimeamua kutafuta mtaala wa masterz na kujifundisha mwenyewe katika desktop yangu ili niende nao sawa.
Sasa nilikuwa naulizia ni mtaala wa chuo gani naweza kuutumia kwa urahisi katika kujitraini ili nijipe hiyo masters, na baadae kujitengenezea cheti na kujifanyia graduation.