Mhadhiri wa Wanafunzi wa ‘ Masters Degree ‘ awasifia sana Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,252
110,838
Ni Mhadhiri ambaye pia ni ( Associate Professor ) kutoka nchini Uingereza ambaye yupo kwa ‘ Program ‘ maalum ya Kufundisha Somo moja katika Chuo Kikuu ( nakihifadhi ) hapa nchini Tanzania hasa kwa Wanafunzi wa Shahada ya Uzamili ( Masters Degree ) amesema ya kwamba katika Darasa lake ambalo lina Wanafunzi wengi ambao Shahada zao za Kwanza ( Bachelor Degree ) walifanya Vyuo Vikuu mbalimbali ila anapenda sana Uwezo mkubwa wa Kuelewa, Kuchambua na Kutumia Akili vyema kwa Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini.

“ GENTAMYCINE hivi ni kwanini hapa Tanzania Kwenu Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini ni Werevu sana kuliko wanaotoka katika Vyuo vingine kama cha hapo Jirani ambao nashangaa ni Chuo Kikubwa na Kikongwe mno ila Wanafunzi wake huwa ni wagumu Kuelewa, Walalamishi na muda mwingi huwa wanasinzia tu hovyo Darasani? “ aliuliza.

Nakaribia Kuondoka Tanzania Kwenu hapa ila nakuomba sana nifikishie salamu zangu za dhati kabisa kwa Walimu wa SAUT, Mzumbe na Tumaini kwani wanazalisha Wanafunzi Werevu mno na nimejivunia Kuwafundisha hili Somo langu na muda ujao nikija tena Tanzania nitajitahidi nikavitembelee hivi Vyuo kwani kupitia hawa Wanafunzi Wao wachache niliowafundisha wamenifanya niamini kuwa kumbe hata Afrika kuna Watu wana Akili mno kama Sisi Wazungu.

Mwisho kabisa naomba nitoe RAI kwa Uongozi wa hiki Chuo hapa Kuiga aina ya Ufundishaji wa Vyuo vya SAUT, Mzumbe na TUMAINI ambao unazalisha Wanafunzi wenye Akili ambao wamefanya Kazi yangu ya Kufundisha iwe rahisi isipokuwa kwa Wanafunzi Wao tu pekee ambao Kiukweli wana Vichwa vigumu, Wavivu na hupenda Kusinzia hovyo pamoja na Ukongwe wa Chuo chao.

Kwa maneno haya ‘ Kuntu ‘ kabisa ya huyu Mhadhiri ( Associate Professor ) kama hapa Jamvini kuna Wanafunzi wowote waliosoma SAUT Mwanza na hadi katika Matawi yake mengine, Mzumbe na Tumaini basi hapo walipo wanapashwa Kujipongeza kwani mmekubalika na mnasifika sana tofauti na wale wanaojazana hovyo Darasani huku hata Uelewa Wao ukiwa ni mdogo na duni mno.

Ninavyojua Mzungu akisifia Kitu huwa hakosei na anakuwa sahihi kwa 100% kabisa. Hivyo basi kwa hizi Sifa nadhani ni wakati sahihi nami sasa Kujichangisha Pesa ili nami nikasome Shahada yangu ya Kwanza kati ya SAUT au Mzumbe au Tumaini ili nami niwe miongoni mwa Wanafunzi Werevu kutoka hivyo Vyuo kama ambavyo wamesifiwa na huyu Mhadhiri Bingwa kabisa kutoka nchini Uingereza.

Nawasilisha.
 
Hivi kwa mfano nisingesoma UDSM kichwani kwangu ningeamini bado sijamaliza kusoma ningekua na ndoto hata ya kuja kusoma chochote hapo udsm ila kwa sasa nimeshapata degree yangu hapo mlimani miaka kadha iliyopita sina shida na mtu wala sihitaji tena kusoma nimetosheka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe na Wewe Mkuu ulisoma Mjazano Darasani, Wagumu Kuelewa, Wapenda Malalamiko na Wakusinzia University?
 
Hivi mpaka leo..Licha ya Graduate wa vyuo ivyo Kujazana Mtaani...Kwa Kukosa Ajira.

Anakuja mzungu ambae Nae Yupo field Ya Kufundisha Hapa Tanzania Anasifia Na Wewe kwa akili yako nyembamba unaleta kama yuzi Kabisa.W atu wajadili?Msomi wetu uyo wa Moja ya Ivyo vyuo tajwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mpaka leo..Licha ya Graduate wa vyuo ivyo Kujazana Mtaani...Kwa Kukosa Ajira.

Anakuja mzungu ambae Nae Yupo field Ya Kufundisha Hapa Tanzania Anasifia Na Wewe kwa akili yako nyembamba unaleta kama yuzi Kabisa.W atu wajadili?Msomi wetu uyo wa Moja ya Ivyo vyuo tajwa.


Sent using Jamii Forums mobile app

Vyuo Vikuu bora nchini Tanzania ni SAUT, Mzumbe na Tumaini hutaki Jinyonge tu Ufe kabisa.
 
Nimekumbuka kile kitu vijana wa UDSM walikuwa wakiulizana, ''kwani mwisho wanachukua POINT ngapi mbona mimi nina Div I.5'' basi wenzake wanamuambia ''aisee hiyo labda wasichana watafikiriwa na sio uhakika'' kwasababu mwaka jana walichukua mwisho Point 4 kwa wanaume''.
Yaani mtu huyo aliyetoka na Div 1 matata A level akaenda zake UDSM kupiga shule leo ghafla hana akili tena na anazidiwa kwa mbali na DDD/E/S???
Basi hiki chuo kifungwe kabisa kwa kuwadhoofisha vijana wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Mhadhiri ambaye pia ni ( Associate Professor ) kutoka nchini Uingereza ambaye yupo kwa ‘ Program ‘ maalum ya Kufundisha Somo moja katika Chuo Kikuu ( nakihifadhi ) hapa nchini Tanzania hasa kwa Wanafunzi wa Shahada ya Uzamili ( Masters Degree ) amesema ya kwamba katika Darasa lake ambalo lina Wanafunzi wengi ambao Shahada zao za Kwanza ( Bachelor Degree ) walifanya Vyuo Vikuu mbalimbali ila anapenda sana Uwezo mkubwa wa Kuelewa, Kuchambua na Kutumia Akili vyema kwa Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini.

“ GENTAMYCINE hivi ni kwanini hapa Tanzania Kwenu Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini ni Werevu sana kuliko wanaotoka katika Vyuo vingine kama cha hapo Jirani ambao nashangaa ni Chuo Kikubwa na Kikongwe mno ila Wanafunzi wake huwa ni wagumu Kuelewa, Walalamishi na muda mwingi huwa wanasinzia tu hovyo Darasani? “ aliuliza.

Nakaribia Kuondoka Tanzania Kwenu hapa ila nakuomba sana nifikishie salamu zangu za dhati kabisa kwa Walimu wa SAUT, Mzumbe na Tumaini kwani wanazalisha Wanafunzi Werevu mno na nimejivunia Kuwafundisha hili Somo langu na muda ujao nikija tena Tanzania nitajitahidi nikavitembelee hivi Vyuo kwani kupitia hawa Wanafunzi Wao wachache niliowafundisha wamenifanya niamini kuwa kumbe hata Afrika kuna Watu wana Akili mno kama Sisi Wazungu.

Mwisho kabisa naomba nitoe RAI kwa Uongozi wa hiki Chuo hapa Kuiga aina ya Ufundishaji wa Vyuo vya SAUT, Mzumbe na TUMAINI ambao unazalisha Wanafunzi wenye Akili ambao wamefanya Kazi yangu ya Kufundisha iwe rahisi isipokuwa kwa Wanafunzi Wao tu pekee ambao Kiukweli wana Vichwa vigumu, Wavivu na hupenda Kusinzia hovyo pamoja na Ukongwe wa Chuo chao.

Kwa maneno haya ‘ Kuntu ‘ kabisa ya huyu Mhadhiri ( Associate Professor ) kama hapa Jamvini kuna Wanafunzi wowote waliosoma SAUT Mwanza na hadi katika Matawi yake mengine, Mzumbe na Tumaini basi hapo walipo wanapashwa Kujipongeza kwani mmekubalika na mnasifika sana tofauti na wale wanaojazana hovyo Darasani huku hata Uelewa Wao ukiwa ni mdogo na duni mno.

Ninavyojua Mzungu akisifia Kitu huwa hakosei na anakuwa sahihi kwa 100% kabisa. Hivyo basi kwa hizi Sifa nadhani ni wakati sahihi nami sasa Kujichangisha Pesa ili nami nikasome Shahada yangu ya Kwanza kati ya SAUT au Mzumbe au Tumaini ili nami niwe miongoni mwa Wanafunzi Werevu kutoka hivyo Vyuo kama ambavyo wamesifiwa na huyu Mhadhiri Bingwa kabisa kutoka nchini Uingereza.

Nawasilisha.
Mmmmmmmmmh ahaaaaaaaaah unajitekenya na kucheka mwenyewe,kwani nani ajui Kama wewe SAUT Alumni pure eboooh Toka ukakojoe,mnakalia kuwabaka wanafunzi na kuwacarrysha ovyo alaaaaaaah.

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Popoma kazini, eti mwanafunzi wa SAUTI kaingia na coursework ya 34 course ya Quantitative!! Huku DUCE Dkt. Kwayu hata ufurukute vipi hakuna aliefika 30. Huyo wa sauti kaenda na DDD watu tuna A za GE A level. Course 10+ unapata zote B+ hahaha. Hicho sio chuo POPOMA Gyenta.
 
Ni Mhadhiri ambaye pia ni ( Associate Professor ) kutoka nchini Uingereza ambaye yupo kwa ‘ Program ‘ maalum ya Kufundisha Somo moja katika Chuo Kikuu ( nakihifadhi ) hapa nchini Tanzania hasa kwa Wanafunzi wa Shahada ya Uzamili ( Masters Degree ) amesema ya kwamba katika Darasa lake ambalo lina Wanafunzi wengi ambao Shahada zao za Kwanza ( Bachelor Degree ) walifanya Vyuo Vikuu mbalimbali ila anapenda sana Uwezo mkubwa wa Kuelewa, Kuchambua na Kutumia Akili vyema kwa Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini.

“ GENTAMYCINE hivi ni kwanini hapa Tanzania Kwenu Wanafunzi kutoka SAUT, Mzumbe na Tumaini ni Werevu sana kuliko wanaotoka katika Vyuo vingine kama cha hapo Jirani ambao nashangaa ni Chuo Kikubwa na Kikongwe mno ila Wanafunzi wake huwa ni wagumu Kuelewa, Walalamishi na muda mwingi huwa wanasinzia tu hovyo Darasani? “ aliuliza.

Nakaribia Kuondoka Tanzania Kwenu hapa ila nakuomba sana nifikishie salamu zangu za dhati kabisa kwa Walimu wa SAUT, Mzumbe na Tumaini kwani wanazalisha Wanafunzi Werevu mno na nimejivunia Kuwafundisha hili Somo langu na muda ujao nikija tena Tanzania nitajitahidi nikavitembelee hivi Vyuo kwani kupitia hawa Wanafunzi Wao wachache niliowafundisha wamenifanya niamini kuwa kumbe hata Afrika kuna Watu wana Akili mno kama Sisi Wazungu.

Mwisho kabisa naomba nitoe RAI kwa Uongozi wa hiki Chuo hapa Kuiga aina ya Ufundishaji wa Vyuo vya SAUT, Mzumbe na TUMAINI ambao unazalisha Wanafunzi wenye Akili ambao wamefanya Kazi yangu ya Kufundisha iwe rahisi isipokuwa kwa Wanafunzi Wao tu pekee ambao Kiukweli wana Vichwa vigumu, Wavivu na hupenda Kusinzia hovyo pamoja na Ukongwe wa Chuo chao.

Kwa maneno haya ‘ Kuntu ‘ kabisa ya huyu Mhadhiri ( Associate Professor ) kama hapa Jamvini kuna Wanafunzi wowote waliosoma SAUT Mwanza na hadi katika Matawi yake mengine, Mzumbe na Tumaini basi hapo walipo wanapashwa Kujipongeza kwani mmekubalika na mnasifika sana tofauti na wale wanaojazana hovyo Darasani huku hata Uelewa Wao ukiwa ni mdogo na duni mno.

Ninavyojua Mzungu akisifia Kitu huwa hakosei na anakuwa sahihi kwa 100% kabisa. Hivyo basi kwa hizi Sifa nadhani ni wakati sahihi nami sasa Kujichangisha Pesa ili nami nikasome Shahada yangu ya Kwanza kati ya SAUT au Mzumbe au Tumaini ili nami niwe miongoni mwa Wanafunzi Werevu kutoka hivyo Vyuo kama ambavyo wamesifiwa na huyu Mhadhiri Bingwa kabisa kutoka nchini Uingereza.

Nawasilisha.

halafu walio soma pale mrima wa mkoa wote wapo serekalini na vyama pinzani unaona wanavo tupelekesha kila siku kwenye matatizo
 
hii hoja kwasababu imeletwa na wewe mkuu, basi inakua na ka harufu fulani hivi ka uchochezi!...ingawa kunauwezekan hata mdogo kuwa na ka ukweli....(kwa mbaaali lakini)
 
Back
Top Bottom