TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Ye dikteta mbona alikuwa akemei mahuaji ya wengine, watu walikuwa wanatekwa, Wengine wanapigwa risasi kwenye makazi ya viongozi, na waliothubutu kwenda kuwaona hao waliopigwa risasi na wenyewe wakafukuzwa kazi au kutolewa ubalozi,Inasikitisha sana kuzisoma hizi akili za humu jukwaani.
Mtu anafurahia kifo cha mwingine kama vile anazo namba za simu za hao waliopo mbinguni.
Kama vile kifo kinapokea pesa za hongo. Hizi ndizo roho mbaya za wabongo.
Jitu Kama ilo likifa kwanini usifurahie?? na yule kwa miaka mitano yake iliyobakia uenda angetumaliza wote ili abakie peke yake