Nimeamini TANESCO inatumika kisiasa

Nimeamini TANESCO inatumika kisiasa

Moja ya sababu ya kuinyima ccm kula mimi na wenzangu kama 500 ni kukatikakatika umeme.
 
Laiti watanzania tungelikuwa na uchungu wa dhati wa maisha letu na kizazi chetu kijacho cha pili na cha tatu na kuendelea.!! Hili tu la Tanesco kukata umeme saa 11 alfajiri na kurudisha saa 6 usiku kila kukicha lilikuwa ni jambo tosha sana kuamua mabadiliko oktoba 25 walau miaka mitano inatosha kutoa somo kwa watawala..!! naandika post hii kama mtanzania mwenye uchungu na maisha ya watanzania wenzangu tunaotegemea kuendesha maisha yetu kwa kutegemea umeme 100%.!!
 
Tokea Arusha tumepata Mkuu wa mkoa Mpya umeme unakatika wakati wa Taarifa ya Habari tu. Tofauti kabisa Na ratiba za mgao wa umeme wa awali Richa ya Tanesco kusema mgao wa umeme umeisha kwa sasa.
Sasa ni mshangao tumepata mkuu wa mkoa Mpya Na umeme unakatika saa moja Na kurudi usiku wa manane!

Umeme ni Muhumu sana ndio chanzo cha CCM kukosa kura kwa wajasilimali wengi sana hapa Arusha.

Kichwa habari kinaalama ya kuuliza
 
Tokea Arusha tumepata Mkuu wa mkoa Mpya umeme unakatika wakati wa Taarifa ya Habari tu. Tofauti kabisa Na ratiba za mgao wa umeme wa awali Richa ya Tanesco kusema mgao wa umeme umeisha kwa sasa.

We muache awazingue machalii kama hawajamtimua.
 
Ndio wanazidi kupoteza kura maana chuki dhidi yao ina double
 
huyo ni komandoo mjichanganyeee mkafikili Wa viti maaalumu Kazi kwenu na atawanyooosha sana c mnajifanya nyie ni machaliiii atashika mmoja mmoja kama nkuruzinza anavyofanya Burundi mtapoteana
 
huyo ni komandoo mjichanganyeee mkafikili Wa viti maaalumu Kazi kwenu na atawanyooosha sana c mnajifanya nyie ni machaliiii atashika mmoja mmoja kama nkuruzinza anavyofanya Burundi mtapoteana

Tatizo la mgawo wa umeme Arusha kumalizika Juni | FULL SHANGWE BLOG

Hawezi jaribu hata siku moja......Watu wa Arusha sio lele mama na wanajua dunia inaendaje.....Mwambie akajaribu kuleta vurugu kama hawaja mtoa spidi 200..

CCM imeshindwana na Arusha wakaacha kuinvest kuwaumiza kiuchumi lakini wameshindwa.
 
Wanadai wanaunganisha umeme wa gesi, nashangaa mwisho ilikuwa iwe leo ila nako wamekata
 
Hivi ni kweli Arusha vijana wengi wanavuta bangi na viroba? Nauliza tu
 
Nilikuwepo hapo juzi Dah nilichokiona si NI KWELI KABISA WAKAZI WA ARUSHA MJINI WANAPATA SHIDA SANA UMEME UNAKATWA ASUBUHI KURUDI BAADA YA TAARIFA YA HABARI......LAZIMA TUWACHUKIE MALUCIFER HAWA.
 
Acheni kupost upumbavu tangulini mkuu wa mkoa akahusika NA mambo ya umeme? Uongozi wa tanesko unajitegemea wenyewe .
 
huyo ni komandoo mjichanganyeee mkafikili Wa viti maaalumu Kazi kwenu na atawanyooosha sana c mnajifanya nyie ni machaliiii atashika mmoja mmoja kama nkuruzinza anavyofanya Burundi mtapoteana
Ukiandika hivi unafaidika? Au ni kama mchawi tu anayefurahia mateso ya mwenzake?
 
Back
Top Bottom