Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Khaa!! Halafu watu na akili zao wanakuja na kuanza kumponda mzee MkapaAcheni kupost upumbavu tangulini mkuu wa mkoa akahusika NA mambo ya umeme? Uongozi wa tanesko unajitegemea wenyewe .
Khaa!! Halafu watu na akili zao wanakuja na kuanza kumponda mzee MkapaAcheni kupost upumbavu tangulini mkuu wa mkoa akahusika NA mambo ya umeme? Uongozi wa tanesko unajitegemea wenyewe .
Hivi ni kweli Arusha vijana wengi wanavuta bangi na viroba? Nauliza tu
Jibu ni rahisi sana ni suala la kuchukua takwimu pale mahakamani maana wavuta ndumu hushtakiwa pale.
Khaa!! Halafu watu na akili zao wanakuja na kuanza kumponda mzee Mkapa
Usishangae hilo la mkato wa umeme,huyu jamaa eti anaenda masokoni hususani soko la kilombero na kiwa-harass wajasiriamali wanawake anapindua meza zao eti wanafanya biashara kuzunguka soko kwa kibali cha nani!?
Too much bogus!
Hivi ni kweli Arusha vijana wengi wanavuta bangi na viroba? Nauliza tu
acheni kupost upumbavu tangulini mkuu wa mkoa akahusika na mambo ya umeme? Uongozi wa tanesko unajitegemea wenyewe .
Geita ni mwezi wa tatu sasa umeme unakatika saa 12am na kurudi saa moja jooniTatizo Lilikuwepo Kweli Kama Mlivoambiwa Kutokana Na Gas Ya Mtwara Kuingizwa Kwenye System Na Juzi Ndo Mashine Ziliwashwa,na Bado Wanaendelea Kuweka Vitu Sawa.Kama Ukiangalia Nusu Na Robo Ya Tanzania Kulikuwa Hakuna Uhakika plWa Umeme Kabisa Lakini Kuanzia Jana Na Leo Tatizo La Umeme Limepungua Katika Maeneo Mengi.Matatizo Katika Maeneo Mengi Yanatokana Na Kubadilishwa Mifumo Na Miundombinu Mf.Nguzo,transfoma Nk.Na Tusihusishe Siasa Na Hali Ya Tanesco Inayoendelea.
ujasiri ndio silaha ya maishaNakupongeza kwa ujasri wako mkuu ingawaje hali halisi unaijua.
Geita ni mwezi wa tatu sasa umeme unakatika saa 12am na kurudi saa moja jooni
mfano leo umekatika saa 11 afajiri ukarudi saa tisa mchana tena ukakata saa 12+ mpaka sasa haupo...
Sasa tangazo lao halina maana