Nimeamini TANESCO inatumika kisiasa

Nimeamini TANESCO inatumika kisiasa

arusha moshi na rombo yake ni walevi kufa
Khaa!! Basi ni haki yao kabisa kuleta nyuzi kama hizi
A%20S%20shade.gif
 
mimi niko masaki na hatuna shida hiyo
 
Nipo mwanza kwa tangu jumatano na umeme umeshinda mchana kwa siku moja tu. najiuliza wajasiriamali wanaotegemea umeme wanaishije? na kama wamekopa kwaajili ya biashara zao watarudishaje? Naiomba Tanesco itoe kauli ya uhakika ili wajasiriamli hawa wapate tumaini.
 
Shirika la umeme si siasa umeme ukatikapo hata wao huingiza mamilioni ya hasara acheni uchonganishi umeme ukatikapo wa ccm wa cdm wa cuf na vyama vyote hutaabika pia dini zote pia
 
Hivi mgao utaisha lini huku arusha tumechoka yaan kero vibaya.
 
Hivi mgao utaisha lini huku arusha tumechoka yaan kero vibaya.

Kama tukifanya uchaguzi sahihi hapo tarehe 25 Oktoba 2015. Vinginevyo hawa Chama Chakavu Mkweche, wataendelea na ahadi zao hewa wasizo na mpango wa kuzitekeleza.

Waliahidi kukatika umeme kungekuwa historia (tangu tarehe ngapi vile?) Leo hata mate waliyotema wakati wakibwabwaja ahadi hiyo, hayajakauka, wameshasahau kabisa. Hawana mpango kwani kuwasha mashine za gesi wameshindwa na maji ya Mtera waliyafuja wakidhani gesi itawaokoa. Sasa wamekosa mtoto na maji ya moto!

Chama Cha Magamushi waongo!
 
Uongo mbaya mwaka huu CCM umeme utaiondoa, sema wapinzani hawataki kulitumia hili kama kete mahususi ya kuiondoa CCM Madarakani.
 
Nina zaidi ya mwezi hapa nilipo kanda ya ziwa sijaona taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Kila siku umeme unashinda ila ikifika saa moja na robo wakati wa taarifa ya habari ya Channel 10 ambayo pia huchelewa kuonyesha habari za kampein wanakata umeme, kwa hiyo huwa nawahi kuangalia taarifa ya ITV saa 12 asubuhi.

Sasa wameanza mtindo wa kukata umeme wakati wa kusomwa taarifa hiyo na wanarudisha umeme mara taarifa inapokwisha .

Je, kwa ratiba hiyo TANESCO haitumiki kisiasa ?!

CCM kwa mtindo huu tegemeeni kukosa kura zaidi kuliko, kwani mnatia hasira sana.

Kwanini baadhi ya watanzania mnakua na vichwa mgando kiasi hiki? kwanini unatumika vibaya kuichafua ccm ukiitwa utoa ushahidi wa hayo unayoongea unaweza? tuache ushabiki mda mwingine tuwe weledi naomba chunga ndimi yako isije kukupeleka pabaya ukawa kama mwenzio alietoa taarifa ya uongo ya mkuu wa majeshi ni ushauri tu
 
TANESCO hawezi tumika kisiasa ebu acheni kuupotosha uma tatizo nadhani waziri alifafanua vizuri juzi kuhusu hali ya Umeme nchini kwaiyo yatupasa kukubaliana na hali halisi na ikumbukwe hiki ni kipindi cha mpito tu mambo yatakuwa vuzuri mbeleni
 
Nina zaidi ya mwezi hapa nilipo kanda ya ziwa sijaona taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Kila siku umeme unashinda ila ikifika saa moja na robo wakati wa taarifa ya habari ya Channel 10 ambayo pia huchelewa kuonyesha habari za kampein wanakata umeme, kwa hiyo huwa nawahi kuangalia taarifa ya ITV saa 12 asubuhi.

Sasa wameanza mtindo wa kukata umeme wakati wa kusomwa taarifa hiyo na wanarudisha umeme mara taarifa inapokwisha .

Je, kwa ratiba hiyo TANESCO haitumiki kisiasa ?!

CCM kwa mtindo huu tegemeeni kukosa kura zaidi kuliko, kwani mnatia hasira sana.

Tanesco sio chama cha Siasa. Wala sio mtu wala sio Shirika la mtu binafsi. Linaongozwa kwa mujibu wa sheria na maamuzi yake hayaingiliwi na mtu yeyote. Technical issues will remain technical. Political issues are left to politicians.
 
Duu Sikubalian na ww Kisiasa vp kwan Tanesco huwa wanakata Umeme nyumba za wanachama Ambao so wa Ccm na ambazo ni za ccm hawakat achen kupotosha umma Siasa na Mambo ya kitaalam ni tofaut...
 
Tanesco kama ingetumika kisiasa wangechagua nyumba za kuweka umeme. Wakiona bendera ya upinzani wanaruka. Wanapokwenda kuweka umeme wanawahudumua wananchi sio chama. Na kama kuhusu taarifa ya habari umeme kukatika, inamaana tanesco Wanakata nyumba za wapinzani tu lakini nyumba za CCM hawakati?
 
Nyumba yangu imeuzwa kwa deni la mkopo kushindwa kurejesha kwa ajili ya umeme kama unampango wakuvuta mkopo kwa kupindi hiki ucjaribu utaukimbia mji

Mkuu deni lako la mkopo linaihusu vipi TANESCO
 
Kwa kuongezea: Tanesco kama ingetumika kisiasa wangechagua nyumba za kuweka umeme. Wakiona bendera ya upinzani wanaruka. Wanapokwenda kuweka umeme wanawahudumua wananchi sio chama. Na kama kuhusu taarifa ya habari umeme kukatika, inamaana tanesco Wanakata nyumba za wapinzani tu lakini nyumba za CCM hawakati?
 
Tanzania kuna vyanzo vingi vya kuzalisha umeme kama umeme wa jua, makaa ya mawe, upepo, mawimbi ya bahari cjui hawa viongoz wa nishat na madini wana kazi ya kula mishahara tu na posho za kodi ya wa tanzania...
 
Back
Top Bottom