Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 609
- 1,563
Nilipata wasi wasi niliposikia kuwa wafanyabiashara wa mji wa Kumasi wameungana ili kuakikisha yanga atoki salama pale babayara stadium, na ilikuwa ni lazima yanga afie pale!
Wasi wasi Wangu kumbe nilikuwa sahihi sana kwa kilichotokea uwanjani kwa refarii kumrudisha fadhira kwa waliomkarimu vizuri kwa 100%.
Hakika refa uyu alifanya kazi yake ipasavyo ya KUWATOA yanga mchezoni bahati mbaya kwake alikutana na timu yenye wachezaji waliokomaa na kupevuka ipasavyo vinginevyo angefanikiwa malengo yake ya kumbeba mwenyeji kushinda mechi ya Leo!
Straight red card ilikuwa aiepukiki kwa mchezaji wa MEDEAMA, goli la wazi la kibabage ni ushahidi tosha ya refarii aliyekuwa amebet tiyali!
Pamoja na kuwabeba bado walikutana na moto wa vijana wa gamondi ambao walikosa ukatili kwenye eneo lao la mwisho kuimaliza mechi!
Medeama wametumia advantage ya uwanja wa nyumbani Sasa na yanga wakautumie vyema pia uwanja wa nyumbani kwa kuicheza iyo mechi nje ndani akuna kumhurumia kenge yeyote atakayejichanganya kutuzuia,
Kwa mkapa ni lazima waseme ni kitu Gani walimpa refarii na washika vibendera, walichompa basi na wao wasubilie kitawakuta icho icho undava undava tu mpaka kieleweke!
Mechi imekwisha na wachezaji wa MEDEAMA wamebaki wameduwaa awajaamini Kama mipango waliyoiset ingeferi kupitia refarii!
Sasa tunawakaribisha Benjamin mkapa waje tutawapokea Kama walivyotupokea!
Wasi wasi Wangu kumbe nilikuwa sahihi sana kwa kilichotokea uwanjani kwa refarii kumrudisha fadhira kwa waliomkarimu vizuri kwa 100%.
Hakika refa uyu alifanya kazi yake ipasavyo ya KUWATOA yanga mchezoni bahati mbaya kwake alikutana na timu yenye wachezaji waliokomaa na kupevuka ipasavyo vinginevyo angefanikiwa malengo yake ya kumbeba mwenyeji kushinda mechi ya Leo!
Straight red card ilikuwa aiepukiki kwa mchezaji wa MEDEAMA, goli la wazi la kibabage ni ushahidi tosha ya refarii aliyekuwa amebet tiyali!
Pamoja na kuwabeba bado walikutana na moto wa vijana wa gamondi ambao walikosa ukatili kwenye eneo lao la mwisho kuimaliza mechi!
Medeama wametumia advantage ya uwanja wa nyumbani Sasa na yanga wakautumie vyema pia uwanja wa nyumbani kwa kuicheza iyo mechi nje ndani akuna kumhurumia kenge yeyote atakayejichanganya kutuzuia,
Kwa mkapa ni lazima waseme ni kitu Gani walimpa refarii na washika vibendera, walichompa basi na wao wasubilie kitawakuta icho icho undava undava tu mpaka kieleweke!
Mechi imekwisha na wachezaji wa MEDEAMA wamebaki wameduwaa awajaamini Kama mipango waliyoiset ingeferi kupitia refarii!
Sasa tunawakaribisha Benjamin mkapa waje tutawapokea Kama walivyotupokea!