Medeama walalamikia penati 3 walizonyimwa katika mechi dhidi ya Yanga

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,130
7,901
Baada ya mechi ya Medeama vs Yanga kumekuwa na kelele nyingi kuhusu goli la clear offside la Kibabage, ila wengi walifumbia macho matukio kadhaa ambayo refa alimezea ambayo yangewapa faida Medeama.

Kuna uzi mmoja nilisema kitendo ambacho baadhi ya watu wanasema kilistahili kadi nyekundu kilitokana na rafu kadhaa ambazo wachezaji wa Yanga walicheza dhidi ya wachezaji wa Medeama ambazo refa hakuziita. Kwa maana hiyo kile kitendo kilikuwa cha hasira ndiyo maana ukiangalia hata reaction ya wachezaji wa Yanga hawakuwa wameshangazwa kihiivyooo maana walijua ambacho walikuwa na wenyewe wamekifanya mara kadhaa kabla ya hapo.

Kwenye interview moja baada ya ile mechi, mshambuliaji wa Medeama, Jonathan Sowah akilalamika kwamba alikuwa alichezewa rafu nyingi na mbaya na mabeki wa Yanga na kwamba walinyimwa penati 3 za wazi. Na wote tulioangalia mpira tunajua alichosema ni kweli kabisa.

Ushauri wangu, Yanga wakirudia kutaka tena kucheza mpira wa nguvu na rafu katika mechi ya marudiano, utawagharimu sana. Najua mna mchezaji mmoja au wawili tu wakikosekana katika timu hamna timu tena ya ushindani.
 
Mpira ule ulikuwa open sana na wote tuliona jinsi ambavyo penati za wazi zikipetwa.

Mashabiki walijificha kwenye kulalamikia goli la offside ambalo kiuhalisia ilikuwa ni offside kweli.

Wakamuita refa wa mchongo wakasahau matukio yote ambayo yalikuwa yamesababisha penati ambazo zilikuwa zinaenda kuwapa faida Medeama.


Na hizo scenario tulizisema wakati mechi inaendelea lakini watu wakajikausha kama hawaoni kinachojiri
Ilikuwa penati ya pili

Sema refa ni home boi

Penati ya tatu inapetwa

Kulikuwa na penati ngapi leo ambazo amezipeta za Medeama?

Kuna faulo ngapi ambazo Backa alizifanya na hakusimamisha mpira?

Ukitaka maamuzi ya refa yawe fair yanaweza kukuumiza na wewe.

Kuhusu offside hilo halina mjadala, ilikuwa ni clear na angeruhusu liwe goli ningeingia uwanjani japo nipo TZ
 
Mpira ule ulikuwa open sana na wote tuliona jinsi ambavyo penati za wazi zikipetwa.

Mashabiki walijificha kwenye kulalamikia goli la offside ambalo kiuhalisia ilikuwa ni offside kweli.

Wakamuita refa wa mchongo wakasahau matukio yote ambayo yalikuwa yamesababisha penati ambazo zilikuwa zinaenda kuwapa faida Medeama.


Na hizo scenario tulizisema wakati mechi inaendelea lakini watu wakajikausha kama hawaoni kinachojiri
Yanga wanajua vizuri tu kuwa walistahili kupoteza ile mechi ndiyo maana wamepoooa na hawana uhakika kabisa na mechi ya marudiano.
 
Siyo kweli; yeye mwenyewe anomba kuja Yanga

Jonathan Sowah emerges as transfer target for Tanzanian giants Young Africans​


1702501640809.jpeg


Source: https://webcache.googleusercontent....cans-1897745&hl=en&gl=us&client=firefox-b-1-d
 
Usitumie nguvu na umbumbumbu katika ku elezea jambo katika ulimwengu uu wa ki digital.
Weka izo video zinazo onyesha medeama wakinyimwa Penalty tatu .
Mbona mashabiki wa Yanga wameweka video za wanacho kilalamikia!!
 
Baada ya mechi ya Medeama vs Yanga kumekuwa na kelele nyingi kuhusu goli la clear offside la Kibabage, ila wengi walifumbia macho matukio kadhaa ambayo refa alimezea ambayo yangewapa faida Medeama.

Kuna uzi mmoja nilisema kitendo ambacho baadhi ya watu wanasema kilistahili kadi nyekundu kilitokana na rafu kadhaa ambazo wachezaji wa Yanga walicheza dhidi ya wachezaji wa Medeama ambazo refa hakuziita. Kwa maana hiyo kile kitendo kilikuwa cha hasira ndiyo maana ukiangalia hata reaction ya wachezaji wa Yanga hawakuwa wameshangazwa kihiivyooo maana walijua ambacho walikuwa na wenyewe wamekifanya mara kadhaa kabla ya hapo.

Kwenye interview moja baada ya ile mechi, mshambuliaji wa Medeama, Jonathan Sowah akilalamika kwamba alikuwa alichezewa rafu nyingi na mbaya na mabeki wa Yanga na kwamba walinyimwa penati 3 za wazi. Na wote tulioangalia mpira tunajua alichosema ni kweli kabisa.

Ushauri wangu, Yanga wakirudia kutaka tena kucheza mpira wa nguvu na rafu katika mechi ya marudiano, utawagharimu sana. Najua mna mchezaji mmoja au wawili tu wakikosekana katika timu hamna timu tena ya ushindani.
Jamiiforuns wakati ni jamiiforums kulikuwa na serious discussions ambazo .zilikuwa na faida kwa wana forum. Siku hizi imegeuka kuwa kijiwe cha kahawa ambapo kumejaa mipasho. Mtu anaamua kuweka uzi kuwadiss timu ambayo anahisi ni wapinzani wake without a shred of evidence. This is disgusting. wmWhere are the moderators. Kwa nini most of the hreads here ni against Yanga. Is it a coincidence au moderators ni upande wa pili? Nimejaribu ku post thread zangu several times to no avail. Instead naona kila siku watuwalewale wana post threads tatu mpaka tano kwa siku. Why? Is it an exclusive club ya mashabiki wa Smba. Why don't we call it Simba SC jamiiforums sports. By the way how do you contact the moderators?
 
Usitumie nguvu na umbumbumbu katika ku elezea jambo katika ulimwengu uu wa ki digital.
Weka izo video zinazo onyesha medeama wakinyimwa Penalty tatu .
Mbona mashabiki wa Yanga wameweka video za wanacho kilalamikia!!

Mh! Chanzo cha hii Taarifa ni kipi Kaka mkubwa?

Jamiiforuns wakati ni jamiiforums kulikuwa na serious discussions ambazo .zilikuwa na faida kwa wana forum. Siku hizi imegeuka kuwa kijiwe cha kahawa ambapo kumejaa mipasho. Mtu anaamua kuweka uzi kuwadiss timu ambayo anahisi ni wapinzani wake without a shred of evidence. This is disgusting. wmWhere are the moderators. Kwa nini most of the hreads here ni against Yanga. Is it a coincidence au moderators ni upande wa pili? Nimejaribu ku post thread zangu several times to no avail. Instead naona kila siku watuwalewale wana post threads tatu mpaka tano kwa siku. Why? Is it an exclusive club ya mashabiki wa Smba. Why don't we call it Simba SC jamiiforums sports. By the way how do you contact the moderators?
Interview ipo Youtube ila kwa bahati mbaya nami nikiwekaga link za YouTube huwa hizo video zinaondolewa kwa hiyo nimeacha kufanya hivyo ila sina muda wala sababu ya kuanzisha nyuzi kwa nia ya kupotosha au "kudiss" timu yoyote. Ukweli ndiyo huo.
 
Baada ya mechi ya Medeama vs Yanga kumekuwa na kelele nyingi kuhusu goli la clear offside la Kibabage, ila wengi walifumbia macho matukio kadhaa ambayo refa alimezea ambayo yangewapa faida Medeama.

Kuna uzi mmoja nilisema kitendo ambacho baadhi ya watu wanasema kilistahili kadi nyekundu kilitokana na rafu kadhaa ambazo wachezaji wa Yanga walicheza dhidi ya wachezaji wa Medeama ambazo refa hakuziita. Kwa maana hiyo kile kitendo kilikuwa cha hasira ndiyo maana ukiangalia hata reaction ya wachezaji wa Yanga hawakuwa wameshangazwa kihiivyooo maana walijua ambacho walikuwa na wenyewe wamekifanya mara kadhaa kabla ya hapo.

Kwenye interview moja baada ya ile mechi, mshambuliaji wa Medeama, Jonathan Sowah akilalamika kwamba alikuwa alichezewa rafu nyingi na mbaya na mabeki wa Yanga na kwamba walinyimwa penati 3 za wazi. Na wote tulioangalia mpira tunajua alichosema ni kweli kabisa.

Ushauri wangu, Yanga wakirudia kutaka tena kucheza mpira wa nguvu na rafu katika mechi ya marudiano, utawagharimu sana. Najua mna mchezaji mmoja au wawili tu wakikosekana katika timu hamna timu tena ya ushindani.
Umeolewa?
 
Mpira ule ulikuwa open sana na wote tuliona jinsi ambavyo penati za wazi zikipetwa.

Mashabiki walijificha kwenye kulalamikia goli la offside ambalo kiuhalisia ilikuwa ni offside kweli.

Wakamuita refa wa mchongo wakasahau matukio yote ambayo yalikuwa yamesababisha penati ambazo zilikuwa zinaenda kuwapa faida Medeama.


Na hizo scenario tulizisema wakati mechi inaendelea lakini watu wakajikausha kama hawaoni kinachojiri
Hakuna kitu rahisi nchini kama kuwateka akili mashabiki wa yanga yaani ni kitendo cha kubonyeza batani tu kama ambavyo sasa hivi wanaamini kwamba simba ndio wameng'oa viti.
 
Una utindio wa ubongo.... Mtu mwenye akili timamu anakuja na evidence vinginevyo ni poyoyo wakipopoma maana tunatambua Simba mapopoma mengi.
 
Back
Top Bottom