Nimeamini kweli wanaume ni wachache kuliko wanawake

Nimeamini kweli wanaume ni wachache kuliko wanawake

Status
Not open for further replies.
Hakika nimetokea kupendwa na wanaume zaid ya wa5 kwa nyakati tofauti

Lakini hakuna hata mmoja kati yao aliyekuwa single wote wanakuja na wanajieleza ukweli kwamba wapo ktk mahusiano na kuwa mchepuko sifagilii kabisa [emoji51] duuh kichwa inabasti

Sasa Jamani dada zangu shikilien mnapopendwa kuna watu wanaumiza vichwa wanasubiria mtu atoe mguu ye aingize

Bacyclerbacy

Huo ni ukweli maana, ni kuhitimisha nadhalia ya maumbile ya kiasili

hata wanyama dume moja majike wengi...

niukweli usiopingika japokuwa binadawa tunajitutumuwa kila mmoja nawake lakini wapi vidume lazima tupitepite kutoa huduma kwa wanawake ambao bado wanasubiri baraka yao.
 
Single imeboreshwa siku hizi! Kuna waliooa na wasiooa......ukiwa na mwanamke mmoja hauna tofauti na single.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hakika nimetokea kupendwa na wanaume zaid ya wa5 kwa nyakati tofauti

Lakini hakuna hata mmoja kati yao aliyekuwa single wote wanakuja na wanajieleza ukweli kwamba wapo ktk mahusiano na kuwa mchepuko sifagilii kabisa [emoji51] duuh kichwa inabasti

Sasa Jamani dada zangu shikilien mnapopendwa kuna watu wanaumiza vichwa wanasubiria mtu atoe mguu ye aingize
hahaha, kama kiti cha daladala. Afadhali umetusaidia kutusemea😀😀
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom