Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
Habari wana jf
Ndio hivyo. Huwa naona Landcruiser moja (v8 bila shaka) inapita sehemu na inaingia mjengo fulani hivi. Sasa juzi hapa katika stori za mtaani ndio nikathibitishiwa anaishi mbunge wa viti maalum.
Huwa pia namsikia akitajwa kwenye masuala ya jumuiya (dini) ila sijawahi kumwona akishiriki nasi. Wala sijasikia kuna mchango kadhaa toka kwa mbu ge. Sasa najiuliza, kazi yao hawa ni ipi kwa jamii husika? Au sio mbunge wa eneo letu bali makazi tu? Yani kweli tusikuone katika mstukio ya kijamii? Kazi ya hawa wabunge ni ipi hasa?
Ndio hivyo. Huwa naona Landcruiser moja (v8 bila shaka) inapita sehemu na inaingia mjengo fulani hivi. Sasa juzi hapa katika stori za mtaani ndio nikathibitishiwa anaishi mbunge wa viti maalum.
Huwa pia namsikia akitajwa kwenye masuala ya jumuiya (dini) ila sijawahi kumwona akishiriki nasi. Wala sijasikia kuna mchango kadhaa toka kwa mbu ge. Sasa najiuliza, kazi yao hawa ni ipi kwa jamii husika? Au sio mbunge wa eneo letu bali makazi tu? Yani kweli tusikuone katika mstukio ya kijamii? Kazi ya hawa wabunge ni ipi hasa?