Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Ndio kaka na mimi nimeachwa, nimepigwa chiniNa wewe
Ndio kaka na mimi nimeachwa, nimepigwa chiniNa wewe
Njoo nikupoze machunguNdio kaka na mimi nimeachwa, nimepigwa chini
Sistahili kupozwa bali kuuliwa....make sijawahi kuwa na jema sijawahiii...hata wewe mpenzi mpozaji utanipiga chini kabla jogoo hajawikaNjoo nikupoze machungu
Hamna siwezi mimi naweza kukuvumiliaSistahili kupozwa bali kuuliwa....make sijawahi kuwa na jema sijawahiii...hata wewe mpenzi mpozaji utanipiga chini kabla jogoo hajawika
😂😂 Ngoja nikutag kwenye post uzioneHamna siwezi mimi naweza kukuvumilia
Haya sawaNgoja nikutag kwenye post uzione
Alikuja kabisa kuzifuata hapo kwenye sherehe, kwa Bahati Kuna rafkiake Pete na kidole pia alikuepo na akamfata akamuomba abakie lakini bado aligoma kabisaa..... Alizifata nikampa.Alikupigia simu umpelekee funguo ...kwa maana kwamba yeye hakua nazo. Lakini uliporudi ukakuta amejifungia ndani? Au alivunja kitasa akatengeneza usiku huo huo?
Mimi ndio sijaelewa au wewe ndio haujaeleweka?
Don't forgetHaya sawa
Kiukweli nilishawahi kuleta uzi wa kuachwa humu sema ni mda mrefu sana ndio maana nikaandika NIMEACHWA Tena.Heading inaonyesha unaachwa mara kwa mara...itakuwa una nyota ya kuachwa dada...jitafakari
HongeraKiukweli nilishawahi kuleta uzi wa kuachwa humu sema ni mda mrefu sana ndio maana nikaandika NIMEACHWA Tena.
Hii ni platiform ambayo huwa inanisaidia sana nnapokwama kimahusiano.
Nimepigwa chini ndugu yangu 😃Dada Evelyn sikuamini kama umechwa![]()
Nacheka kama mazuri 😂😂😂🙌Tii mamlaka, wanaume wafupi hatupendi dharau.
Mkuu, ni sogea tukae tu, tunae mtt ndio,virginity kuna vitu haujaweka sawa.
1. Ni ndoa au sogea tukae?
2. Mna mtoto?
3. Una kazi ya ata kukuingizia kdg kwa siku?
4. Ni mara ya kwanza kufanya hivo?
5. Na mwisho, jamaa umemkosea nini?
Asante sana kakaUmejishusha sana ndio maana anakuona ndezi, mvungie endelea na life lako uone kama hatokutafutaView attachment 2357898