Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

Unajua nyie wanawake mkishauriwa mnaenda kufanya opposite, mtu kashakuonyesha kuwq wewe huna thamani kwake ya nini kuupa kiherehere moyo!?. It's better uumie utakuwa fine baada ya muda coz no love pains inadumu maisha, wounds heal. Inaonekana unampenda na anachukulia for granted, jitambue thamani yako na mapenzi yasibadilishe misimamo.

Man of the hour.
Sawa mkuu najitahidi komove maisha lazima yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwaka sasa mkuu,,, mrejesho tafadhali??

Ndo ilifana au ndio kila mtu aliangalia uelekeo wake
 
Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!

Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)

Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.

Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.

Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni tatizo kwa hilo.Kama mnapendana mkiamua sogea tuishi au tutambulishane yote ni sawa.
 
Pole sana...

Ukikubali kuolewa kwa kificho, utaachika kwa kificho pia...
Tulishaachana baada ya kupata maumivu yasiolezeka! Huyo mwanaume alikuja kuwapa mimba wasichana wawili mmoja akamlazimisha atoe mimba...hapo ndo nilipogundua kuwa sipendwi hata kidogo
 
hili suala sio lakuangalia upande mmoja.kwakuwa ni mwanamke kaleta malalamiko hapa haifanyi tuone yeye yupo sawa...

mwanaume kuna kitu kakiona kwako..

kusikiliza upande mmoja tu. Ushauri unaweza usiwe na tija...

hapa kuna upikwaji wa data...

kwa utafiti wako sababu za msingi zinazomfanya afanye maamuzi nayo ni zip?

Tafakari
 
Sogea tuishi na wewe unataka ndoa yani uwe na cheti au basi uwafurahishe marafiki kwamba ulifunga ndoa kanisani? Je huyo mwenzako yuko tayari kufuata taratibu zote zinazohitakija katika pande zote mbili ili muishi wote, na je vip suala la gharama za ndoa umeliwazia pia?
 
Back
Top Bottom