Nimeachwa na mchepuko wangu mama J muda huu

Nimeachwa na mchepuko wangu mama J muda huu

Huyu hawezi kukuacha hata akipelekwa ukraune mmetoka mbali sana [emoji1787][emoji1787]
 
Brother DeepPond hivi unampendaga mkeo kweli?? Yani una hisia nae hata kidogo? Maana I think unatamani ungemuoaga huyu majay tu she is all you think about
 
Kwa unavyo mmanua mbona atarudi mwenyewe tu
Nakadori huyo mama j, njaa Ya pesa ndo zitamrudisha kwa DeepPond na sio genye.

aisee mtoa mada una moyo, binafsi Navojijua siwezi kuwa kwenye mahusiano na mdada anaeniomba pesa kila saa, hata kama mm ni tajiri, sijui we jamaa unawezaje kuvumilia kuombwa hela kila saa
 
Update.......
MamaJ katoka Kanipigia MDA huu,
Nmepokea, nmemsikiliza

Sikilizeni,
haya ndo yalikua mazungumzo yetu[emoji116]
 
Brother DeepPond hivi unampendaga mkeo kweli?? Yani una hisia nae hata kidogo? Maana I think unatamani ungemuoaga huyu majay tu she is all you think about
Ha ha ha ....
Hamna, nampenda Sana mke Wang.
Sema wife katulia Hana kashikashi Kama alizonazo mamaJ[emoji4]
 
Leo mida ya saa 7 mchana kanitafuta mchana na kunitaarifu kua shoga ake alokua nae Jana kaumwa anajiskia vibaya sana, niwasaidie usafir ampeleke hospital.

Nikamuuliza
"mbona Jana ulinambia uyo shoga yako kaondoka na nauli ukasema ulimpatia"

Akasema aliona usiku umeenda Kwaiyo akaamua kughaili, ikabd nimwambie anipe Simu nimuulize. Shoga yake kanijibu kua Ni kweli asemayo mamaJ.
Nikajua hawa wote Ni wale wale wananidanganya TU, ila kwasababau Ni ishu ya ugonjwa hebu nisipuuze nifike eneo la tukio

Basi nikamjibu "nakuja" ikabidi niende kule.

Kufika nikakuta nyumba nzima inanuka pombe, chupa tupu zimezagaa sebleni kila kona. Nilivomwangalia mtu mwenyewe Hakuna Cha ugonjwa Wala Nini, Ni pombe TU wamekunywa nyingi Ila uyu shoga mtu Inaonekana Ni Kama kazidiwa na ulevi.
Huyu mamaJ kalewa ila sio kivile Sana.

Nikaona upuuzi huu,
Nikaaga naondoka tutaonana jioni nkitoka kazini,
mamaJ akaanza nisihi nimpeleke hospitali.
Kama inashindikana nimwachie Ela amnunulie chakula Akisema shoga yake kanywa pombe nyingi na tangu asbh alipokunywa chai,mchana hajala chochote na Kichwa chake chepesi.

Ikabidi nimamuulize huyo mdada Kama kweli hajala, akasema wamekula ndiz na nyama. Basi nikaona huyu mamaJ Ni mpuuzi, anatumia gia ya shoga yake apate pesa.

Nikamwambia
"acha uongo wa kipuuz, keshanambia mmekula ndiz na nyama"
Akasisitiza nimpeleke basi hospitali, nikamjibu kuA ulevi hautibiwi hospitalini.
Huyu Muache alale pombe zikiisha kichwani ataamka. Basi nikaondoka zangu.

Nmefika ofsini
mamaJ kanitumia sms 2 akiniomba ninaporudi niende na mboga, kwasababu ya changamoto ya Jana usiku sikuijibu sms yoyote ile.

Akapiga simu nikamwambia,
"Wee tayar ushasema sio wa elfu tano tano, subiri kwanza nipate pesa nyingi, afu ntakuletea"

Akasema
"Basi acha, naona ushaanza drama zako" Kisha akakata sim, nami nikaendlea na shughuli zangu.

Saa 11 baada ya kufunga ofisi,
Nikaenda kwake, nmekuta shoga yake ndo anaamka amka pombe kama zimepungua kichwani. Ikabidi niende baa ya jiran nikamunulia juice ya matunda Kisha nikamwachia anakunywa nikaenda chumban kwa mamaJ bafuni kuoga.

Nmemaliza kuoga,
MamaJ kanidaka juu kwa juu akitaka tufanye mapenzi, nami sikua na hiyana Tukafanya ila saa Moja kasoro usiku tukaja katishwa na Simu ya ghafla nilipigiwa Kuna mtu nilkua na miadi kukutana nae MDA huo, nilishajisahau. Basi nikaenda kuoga Tena na kuaga naondoka.

MamaJ kanisindikiza mpaka getini kaniaga, nmefika kwenye gari ananipigia Simu nmesahau kuacha posho ya meza.
Nikamjibu
"wewe sio wa elfu tano tano, endelea kuvuta subira. Siku nikipata pesa nyingi ntaacha tena posho ya meza"

Akakasema
" wee mwanaume unasemaje?"

Nikamjibu
"Wewe Ushasema sio wa elfu tano tano, kwasasa endelea tu kuvuta subira.
Siku nikipata pesa nyingi unazotaka ntakuachia tena posho ya meza"

Akajibu "wewe Ni mpumbavu"

Nikasema "sawa" Kisha Akakata Simu

Baada ya Hapo,
Ndo akatuma sms Hii akilalama na akitaka mahusiano yaishie hapo hapo.

Sijamjibu chochote mpaka MDA huu[emoji116]

View attachment 2340302
Utarudi tu!!
 
Mkuu nakumbuka uliwahi niponda sana mimi kisa nilipiga chini mdada baada ya kuona ana viashilia ya kuwa escort na vile aliomba pesa sikumpa.
Ukanituhumu sana nitafute pesa wadada hawana tatizo.
Kwa scenario yako hii mi sio tatizo kwa Mama j ila nachokiona wewe ndio bahili unapenda kula mzigo free ila huduma hutoi ndio maana kaamua kuanza kujitungia sababu ili tu akuchomoe hela.
Nacho kiona alikuvumolia muda napo ni sababu ulikua unakidhi mahitaji yake chumbani vizuri hiyo ikawa bahati yako akakufumbia macho kwa muda ila badae akaanza kuunda mbinu za kukutoa pesa.

So far mpaka sasa naona utarudi tu ukipata visent utaenda kuyamaliza na utaendelea ila safari hii utapunguza ubahili.
 
Hahahahaha Deep Pond mtoto wa mjini hataki kubembeleza.

Screenshot_20220831-141817.png
 
Mkuu nakumbuka uliwahi niponda sana mimi kisa nilipiga chini mdada baada ya kuona ana viashilia ya kuwa escort na vile aliomba pesa sikumpa.
Ukanituhumu sana nitafute pesa wadada hawana tatizo.
Kwa scenario yako hii mi sio tatizo kwa Mama j ila nachokiona wewe ndio bahili unapenda kula mzigo free ila huduma hutoi ndio maana kaamua kuanza kujitungia sababu ili tu akuchomoe hela.
Nacho kiona alikuvumolia muda napo ni sababu ulikua unakidhi mahitaji yake chumbani vizuri hiyo ikawa bahati yako akakufumbia macho kwa muda ila badae akaanza kuunda mbinu za kukutoa pesa.

So far mpaka sasa naona utarudi tu ukipata visent utaenda kuyamaliza na utaendelea ila safari hii utapunguza ubahili.
Aaah wapi,
Kama nilikukwaza samahani
Yalopita Si ndwele chief,
Huyu mwanamke ninae mwaka wa 4 huu
Kiufupi mpk MDA huuYeye ndo anajirudi Sasa[emoji4]

Msikilize Hapa[emoji116]
 
Back
Top Bottom