Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,952
- 147,829
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mna akili timamu nyie
Kwa hio unamlea Yeye na shoga ake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mna akili timamu nyie
Kwa hio unamlea Yeye na shoga ake
Piga chini mweha huyo na bock kabisa namba zakeHahaa huyo manzi anaonekana mswahili mnoo, huyu ni wa kupiga chini mazima mkuu.
Mada Ni kweli kabisa...DP ana huruma sana na upendo. Pia yuko social mbayaaKuna muda nanusa harufu ya kahawa kwny hiz mada za DP..haiwezkan mwanamke awee na shoga ake afu wote wawe wanakuendesha na unakuwa mnyonge kiasi hicho
Hii haiba ya DP umeijulia wap...au na ww ushafungua codes?Mada Ni kweli kabisa...DP ana huruma sana na upendo. Pia yuko social mbayaa
Me nshapewa hadi bia na DP ...Hii haiba ya DP umeijulia wap...au na ww ushafungua codes?
Mblock ili usione sms zake huruma ikakushika.Kumblock namba yake Hicho kipengele,
Ilo la kutompigia na kutojibu text zake ntalifanyia kazi[emoji4]