Nimeachwa na mchepuko wangu mama J muda huu

Nimeachwa na mchepuko wangu mama J muda huu

Huyo mwanamke mfungulie biashara buku tano ina mdhalilisha huku kwenye mitandao mpaka na voice [emoji51][emoji16]
Kaz anayo,
Kaajiliwa Mshahara Anapata na posho ya kula kila siku 10,000 Anapata kazin kwake.

Ila Sijawai kumuuliza khs senti yake anayolipwa kazini, namhudumia kila kitu kuanzia kula,kuvaa,kodi mpk usafr wake wa kwenda kazin.

Ila ndo hivyo haishi kunifanyia Visa kila kukicha dada angu
 
Kaz anayo,
Kaajiliwa Mshahara Anapata na posho ya kula kila siku 10,000 Anapata kazin kwake.

Ila Sijawai kumuuliza khs senti yake anayolipwa kazini, namhudumia kila kitu kuanzia kula,kuvaa,kodi mpk usafr wake wa kwenda kazin.

Ila ndo hivyo haishi kunifanyia Visa kila kukicha dada angu
Safi sana huyo bibie ajengewe Sanam hivyo ndivyo inavyotakiwa sio unakuwa mchepuko bila faida😜
 
Naona anajirudi,
Anajitumisha sms tupige story.

Sina kinyongo nae,
Namjibu positive TU[emoji4][emoji116]
Screenshot_20220831-144928.jpg
 
MUNGU, akusaidie uweze kuachana naye, huyo mwanamke hana adabu.
 
Back
Top Bottom