Nimeachwa eti kisa dini yangu,ushauri tafadhari.

Nimeachwa eti kisa dini yangu,ushauri tafadhari.

Mhhh, mbona mkali sana mzabzab utadhani mimi ndo nimemtosa jamaa.

Sasa akishamfanyia kitu mbaya atapata faida gani zaidi ya kujitafutia murder kesi?

Duina hii si ya kugombania mapezi kaka na kujirisk kwa ajili ya mahusiano.

hapana mnaboa sana wadada nyie...yaani kisasi lazima maana anajidai mjanja na hii it was calculated
 
Last edited by a moderator:
Babe, you already got our attention unajua. Stop this, u are ruining ur own show.
Dini gani hiyo .Au mlokokole maana walokole bonge la turn off .mimi sina Dini I don't believe kuna mungu
 
asidai kisa yeye mwanaume!? wacheni zenu mwana huyu lazima alipe tuu asilete zake hapa ...mganyie kitu mbaya hatakusahau....wanajidai wajanja sana hawa...ndio maana nafagilia sana mijamaa inayomega na kusepa ndio dawa yao hawa

Nimefuatilia comments zako zote zinaonesha una hasira na female.Vp umepigwa buti nin?
 
Nimefuatilia comments zako zote zinaonesha una hasira na female.Vp umepigwa buti nin?

yaani kweli wewe umenisoma...siwapendi nyie wadada basi tuu....full mauzi. mnaringa misa mmepewa K loh!! basi mkiombwa bupa mimogo kibao. ndio maana tunawagegeda na kuwabwaga
 
asidai kisa yeye mwanaume!? wacheni zenu mwana huyu lazima alipe tuu asilete zake hapa ...mganyie kitu mbaya hatakusahau....wanajidai wajanja sana hawa...ndio maana nafagilia sana mijamaa inayomega na kusepa ndio dawa yao hawa

Comments zako nyingi zipo against women, napata hisia we ni mwanaume ambaye hujali na upo insensitive!!!
 
Comments zako nyingi zipo against women, napata hisia we ni mwanaume ambaye hujali na upo insensitive!!!

mie nawaheshimu hawa wanawake kama mama na dada zetu lakini wen it comes to mambo ya mapenzi wala sina love yoyote kwao. gegeda tuu na kusepa
 
Umdai vipi kwani ulikuwa unamkopesha?alikuomba?alikulazimisha?kuna sehemu mmeandikishana be a gentleman and walk away silently
 
Press law suit .. Reason abondonment and misuse of affection
 
Tatizo ni kwamba mshazoea kuacha, mkiachwa nyinyi inakuwa big deal.

its a power thing bwana...wakati una mtongoza demu yeye ndio anakuwa ana power. ukimmega na kumvua chipi wewe unakuwa na power...so mpaka hapo ngoma draw. so iliuonekane kidume wewe ndio umbwage demu...hapo kitu mbili moja.
 
Hivi MMU siku hizi ni jukwaa la Teenagers na watoto wa vyuo tu? too much childish story. mlikuwa na Memorandum of understanding?


3458_488069907904926_1054220696_n.jpg
 
its a power thing bwana...wakati una mtongoza demu yeye ndio anakuwa ana power. ukimmega na kumvua chipi wewe unakuwa na power...so mpaka hapo ngoma draw. so iliuonekane kidume wewe ndio umbwage demu...hapo kitu mbili moja.

Sasa ndo kasha ARSENALNANE iwa atuize mshono.
 
mie nawaheshimu hawa wanawake kama mama na dada zetu lakini wen it comes to mambo ya mapenzi wala sina love yoyote kwao. gegeda tuu na kusepa

Ni wazi uliwahi kuumizwa, so unahitaji mtu wa kukufanyia cancellation, hiyo itakufanya uthamini mapenzi ya mwanamke!
 
Ni wazi uliwahi kuumizwa, so unahitaji mtu wa kukufanyia cancellation, hiyo itakufanya uthamini mapenzi ya mwanamke!

hahaha...do u know how many women i had to sleep with to get over her?
 
Ila una amini kuna christmas?
Daaaah mtoto wa New york una vituko sana!

Dini gani hiyo .Au mlokokole maana walokole bonge la turn off .mimi sina Dini I don't believe kuna mungu
 
Hahahahah mzabzab bana bila shaka uliwahi tendwa lol ,nilisema miye watu wanakopeshana ka finca nikaonekana natumia maneno makal haya sasa kiko wapi.....
hapa kumdai kwake ni kumuomba tigo tuu. hataki basi full kisasi. hawezi akamfanya kijana ****....mtu anajali wewe wamuona ****
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom