habari wana jamvi
nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapendana sana yeye kwao ni iringa na anasoma udom na mimi niko hapa dar,kiukweli tulikuwa tunapendana sana kiasi kwamba chochote ambacho mwanamke huyu alichokuwa anataka nlimpatia bila hata kuuliza kiukweli nimetumia fedha nyingi kama mjuavyo mahitaji ya chuo, ghafla nilipokea sms ikisema "samahani nyumbani kwetu hawawezi kuniruhusu niolewe na mtu wa dini(akata hiyo dini) hivyo naomba tuwe marafiki wa kawaida tu kama ilivyokuwa zamani"kwakweli nilichanganyikiwa na hata sasa bado sijajua ni nini cha kufanya coz toka awali tunakutana alijua fika kwamba mm ni dini fulan iweje leo din ndo iwe kikwazo kama vile nilikuwa nimemficha.kinacho niumiza kichwa ni muda niliopoteza kwake na fedha nilizopoteza katika ku-take care,muda hataweza urudisha lkn fedha anaweza rudisha je nidai au nipotezee tu,naombeni ushauri.
nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapendana sana yeye kwao ni iringa na anasoma udom na mimi niko hapa dar,kiukweli tulikuwa tunapendana sana kiasi kwamba chochote ambacho mwanamke huyu alichokuwa anataka nlimpatia bila hata kuuliza kiukweli nimetumia fedha nyingi kama mjuavyo mahitaji ya chuo, ghafla nilipokea sms ikisema "samahani nyumbani kwetu hawawezi kuniruhusu niolewe na mtu wa dini(akata hiyo dini) hivyo naomba tuwe marafiki wa kawaida tu kama ilivyokuwa zamani"kwakweli nilichanganyikiwa na hata sasa bado sijajua ni nini cha kufanya coz toka awali tunakutana alijua fika kwamba mm ni dini fulan iweje leo din ndo iwe kikwazo kama vile nilikuwa nimemficha.kinacho niumiza kichwa ni muda niliopoteza kwake na fedha nilizopoteza katika ku-take care,muda hataweza urudisha lkn fedha anaweza rudisha je nidai au nipotezee tu,naombeni ushauri.