Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
Kwa kukadiria kama miaka 2 hivi mkuu
....Mkuu Mshukuru Mungu kwa kila jambo!!
Kwa kukadiria kama miaka 2 hivi mkuu
Kaite Leith Maana yake Simba...........Asante mkuu, sikajui hata jina, sijui nikape jina lingine?
Nimekaacha kwa wazazi wangu, nakatafutia dada wa kukalea(yaya), mama amesisitiza kakae nyumbani umri wake usogee kwanza ndio kahamie kwangu
umepunguziwa kazi Mpwa wangu, umevuna pasi kupanda. Unnataka ukatae mtoto? Soma Bible Mpwa kuna baraka nyingi sana sana, mimi niko kwenye kampeni ya kuwarudisha na kuwakusanya wanangu wote niliowapata nje ya ndoa. hadi sasa nimempata mmoja, msihana mkubwa tu sasa, halafu ana akili kama mimi mwenyewe aisee, usikubali kuacha hio kitu ati and GOD will Bless You
Utata sana...lakini kama ana miaka miwili si anaweza kuongea? - Anajijua jina lake? Ukimsikiliza kwa makini unaweza ukajua/kumuelewa akiongea. Au tafuta mtu mwenye mtoto wa umri huo akusaidie kumsikiliza! Unaweza pata some tips kumuhusu.Asante mkuu, sikajui hata jina, sijui nikape jina lingine?
Nimekaacha kwa wazazi wangu, nakatafutia dada wa kukalea(yaya), mama amesisitiza kakae nyumbani umri wake usogee kwanza ndio kahamie kwangu
Nimekaacha kwa wazazi wangu, nakatafutia dada wa kukalea(yaya), mama amesisitiza kakae nyumbani umri wake usogee kwanza ndio kahamie kwangu
Imewahi kunitokea dar. Ni njia nzuri zaidi kuliko kuwatupa chooni ama kuwatelekeza majalalani. Ila kwa kufanya hivyo mi siku hizi simsaidii mwanamke yeyote kubeba mtoto. Mi nilitelekezewa kwenye daladala. Niliteseka sana na mtoto huyo
Hivi hamna vituo vya kulelea watoto ambako polisi wangekapeleka huku uchunguzi ukiendelea?
It is not right kumpa mtu mtoto just like that. Wanajua anaishije? Ataweza kukimu mahitaji ya mtoto kama kula, kunywa na sehemu ya kulala?
Hivi hamna vituo vya kulelea watoto ambako polisi wangekapeleka huku uchunguzi ukiendelea?
It is not right kumpa mtu mtoto just like that. Wanajua anaishije? Ataweza kukimu mahitaji ya mtoto kama kula, kunywa na sehemu ya kulala?
Nilikuja dar kikazi kwa takribani siku 4, sasa jana nikawa narudi mkoani kwangu.
Mlee tu na Mungu atakulipa kheir.
Huyo girlfriend na wazazi wako nao baada ya muda wataelewa tu na kushiriki nawe katika kumlea.
Kumbe huu mchezo umerudi tena!!!
Mungu awabariki kwa kweliNimekaacha kwa wazazi wangu, nakatafutia dada wa kukalea(yaya), mama amesisitiza kakae nyumbani umri wake usogee kwanza ndio kahamie kwangu