Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

Aisee...kumbe? Hapo swadakta! kwasababu siku hizi hadi lovers wanaitana twins ndo maana nkawa na-keep my distance kidogo. Naheshimu couples aise.
By the way it's so cool to have a twin brother 🙂


hahaah huyu mie wa kuzaliwa kbs
 
Mkiachana

Watoto laxima wasafe

Hawatapata shule na future inakua ovyo

Wanakuja kua wa ajabu ajabu/chokoraa

Mzunguko wa umaskini

Ukizeeka no help from ur kids

Taifa maskini
Aaahh wewe kama pesa ipo. Peleka boding mitoto yote

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Aaahh wewe kama pesa ipo. Peleka boding mitoto yote

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.


Usawa wa magufuli na unatumia iPhone 7s? Ila hiyo signature umelazimisha hahahaha wabongo buana
 
mkuu nakupa zawadi ya mche wa sabuni na kukutakia mkono wenye afya njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom