Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

Kuna memba humu namfahamu alimfukuza mke ake kwa maneno yanayouma sana. Alimwambia 'kwanza we hunigeged vZr kama x wangu'. Seriously waliachana mpk sasa hawakai pamoja.

Jamaa aliumia sanaaaa sikien kwa watu tu
Angalau hayo mkuu yana uzito kiasi ila kutokuheshimiwa na kusikilizwa pasi kusema hasikilizwi / aheshimiwi kwenye nini haiingii akilini mkuu.
 
Umeachana na mke wako? Ukimuacha ni mkeo tena? Je wewe ulikuwa unamhehishimu nakumsikiliza akiwa na jambo? Kazi ya msingi ulikuwa unafanya? Kutunza familia je?
 
Angalau hayo mkuu yana uzito kiasi ila kutokuheshimiwa na kusikilizwa pasi kusema hasikilizwi / aheshimiwi kwenye nini haiingii akilini mkuu.

Jamaa ni mkurya na mke wake huyo ni wale wakusaka wachumba mtandaoni...we acha kbs. Hata mm mtu anismbie hunidungui vzr kama x wangu ni Kwenyu sihitaji ushauri
 
Mkiachana

Watoto laxima wasafe

Hawatapata shule na future inakua ovyo

Wanakuja kua wa ajabu ajabu/chokoraa

Mzunguko wa umaskini

Ukizeeka no help from ur kids

Taifa maskini
Kweli tupu mkuu.

Ndio mana inashauriwa inapotokea tatizo inatakiwa kutafuta suluhu kwanza pasi kuchukua maamuzi ambayo mwisho wa siku yanakuwa na athari kubwa kuliko kosa lenyewe.
 
Jamaa ni mkurya na mke wake huyo ni wale wakusaka wachumba mtandaoni...we acha kbs. Hata mm mtu anismbie hunidungui vzr kama x wangu ni Kwenyu sihitaji ushauri
Hahaaa. Ila mkuu saa nyingine hasira zina mengi unaweza kuta ameropoka tu na wala hafanyi hivyo huoni kama utampoteza huku bado unamuhitaji.

Inatakiwa uchunguzi kwanza.
 
Jamaa ni mkurya na mke wake huyo ni wale wakusaka wachumba mtandaoni...we acha kbs. Hata mm mtu anismbie hunidungui vzr kama x wangu ni Kwenyu sihitaji ushauri


ni maneno yasiyo na staha kwakweli! yanaumiza
 
hahaha haya babaa!

Utafute hela kwanza na mashine uinoe kbs, bajet yake usijeshindwa. Petrol 50k, vocha 20k, groceries 50k, other bills 50k hiyo ni fortinight expenses. Km unaingiza chini ya M kwa mwez endelea na nyetto tu
 
Utafute hela kwanza na mashine uinoe kbs, bajet yake usijeshindwa. Petrol 50k, vocha 20k, groceries 50k, other bills 50k hiyo ni fortinight expenses. Km unaingiza chini ya M kwa mwez endelea na nyetto tu


hahahaa mkuu unanidhalilisha aisee! mie nna maana nyingineee hehehe mie she bwana naanzaj kumlea mwanamke mwenzangu sasa!.. nami natafuta pumziko lol!...kidding
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom