Nimeachana na hawara nachanganyikiwa

siyo mara ya kwanza kuomba ushauri humu mimi ni mama mwenye miaka 24 nina mtoto wa mwaka na nusu, na ndoa yangu ina miaka mitano na nusu,ni miaka miwilli sasa mume wangu amekuwa kiwembe kutokana na kugombana mara kwa mara na mimi nikaamua nikae ninyamaze nisiendelee kumfuatilia kwani niliona tutaachana na tutamuacha mtoto wetu akiteseka,. nakumbuka ni kama miezi 2 imepita kuna kijana alionyesha kunipenda sana, huyo kijana ni mwanafunz wa chuo kikuu kimoja na yupo mwaka wa 3, na alikuwa anaishi jirani na nyumbani kwangu. kweli nikatokea kumpenda sana na tukaanzisha mahusiano bila yy kujua kwamba me ni mke wa mtu..kutokana na mume wangu kuwa mtu wa safari sana hii ilisaidia kuwa free kuongea na huyo kijana muda wowote mpaka usiku wa manane..siku moja mume wangu alirudi usiku nikaweka simu yangu silence ili akinipigia yule kijana isisikike,, lakini bahati mbaya sijui ilikuwaje mume wangu akaona mwanga wa simu yangu akaamka na kuipokea ile simu akamtukana yule kijana sana na akamitishia kumfanya kitu kibaya,,baada ya pale nikaenda kwa yule kijana tukakaa nikamwambia ukweli, aliumia sana mpaka akalia na akaniambia kuwa hakuwahi kufikiria kutembea na mke wa mtu..nikambembeleza yakaisha. tangu hapo ni wiki 3 sasa nikawa namuona huyu kijana hana amani na mimi kabisa na nikahisi some thing wrong,jana nikamwambia naomba uwe huru endelea na maisha yako, akanijibu tangu amegundua nina mume hana amani hata kidogo na ameshindwa kuniacha kwani alishanipenda sana.nikamwambia basi tuachane nisije kukuaribia malengo na maisha yako.tukakubaliana kuwa kaka na dada,, kiukweli huyu kijana bado nampenda sana na kiukweli ni kwamba mume wangu nilishamuigno na sina hamu nae wala furaha kutokana na tabia yake ya kubadilisha wanawake.. nafikiria sasa nifanyaje kwani kijana niliyekuwa nadhani amekuwa furaha ya maisha yangu ndo hivyo tena nimeachana nae nawezaje kuishi bila kupenda.. ?? msinishauri kuwa nilikosea kwani niliteseka sana kumvumilia huyu mume wangu mpaka mwisho ndo na mm nikatoka nje ya ndoa kutafuta pumziko. naomba ushauri wenu wadau Topic by:Mama K Date: 2011-06-06



i can fil the way u fil ma dear dah
pole sana mpz
ahh usijali bwana kuwa mwangalifu utapata tulizo lingne...km akupend anatoka nje ufanyaje sasa?

lakin vp HUDUMA ZOOOTE anakupa?
km anarud mapema ,mukitanda unapata na huduma ingne pia bas poa ...tatizo dg ilo ongea nae umwambie atulie UKIMWI BIB oohh!
 
Tatizo ni kutafuta masukuhisho ya muda mfupi na kutokujiandaa na consequence za matendo....sikulaumu,nakuelewa sana,kwasasa nakushauri,kaa chini amua unachotaka and go for it....ukiamua kuwa na mume wako kwasababu yeyote ile,sawa na uvumilie.....ukiamua kumuacha na kuendelea na maisha yako sawa.....usichanganye yote mawili.....ndo maana unachanganyikiwa!
 
una miaka 24 ,una mtoto wa mwaka 1 na nusu uko kwenye ndoa miaka 5 na nusu???? khaaaa....ngoja ntarudi baadaye hii kitu ngoja nifanyie utafiti kwenye google
I wanted to ask the same question
 
i can fil the way u fil ma dear dah
pole sana mpz
ahh usijali bwana kuwa mwangalifu utapata tulizo lingne...km akupend anatoka nje ufanyaje sasa?

lakin vp HUDUMA ZOOOTE anakupa?
km anarud mapema ,mukitanda unapata na huduma ingne pia bas poa ...tatizo dg ilo ongea nae umwambie atulie UKIMWI BIB oohh!
How do you feel???
 
ishu iko hivi, kwa sasa mume kajirudi tena sana tu, baada ya kuona na mimi simfatilii amekuwa clos na mimi sana,ila tatizo ni kwamba mimi simpendi kutoka moyoni, na kuachana nae siwezi coz 2metoka nae mbali sana na ingekuwa ni kuachana tungeachana kipindi amenikosea ila kwa sasa katulia mm moyo wangu ndo haumfurahii tu..nachohitaji ni jinsi ya kuishi coz aliyekuwa ananifanya ndo huyo tumeachana. ntaishi vipi bila kuwa na furaha, bila kuwa na mtu ninayempenda??
 
Kwa nyongeza tu,hakuna mwanaume atakayekuamini tena kwasababu;
1:Umeshindwa kuittetea ndoa yako
2:Umeshindwa kumtoa mwenza wako ndani ya janga/mtego huo wa uasherati(Ni jukumu na wajibu wako kama mke wa ndoa)Hakika utadaiwa na Muumba.
3:Wanaume wengi wanaamini mwanamke hawezi msahau mume wa ndoa,siku wakikutana lazima......so hata ukipata mwanaume mwingine hata kuamini that much.
Kuwa makini, utaingia matatizoni,tena mara kumi ya hayo.Pole sana na amini unaweza kuvumilia,jipende mwenyewe,mpende mtoto wako,kuwa bize na harakati za kuinusuru ndoa yako na utaona upendo kwa mumeo unarudi.Daraja kubwa kati yenu ni COMMUNICATION.
Lizzy, ni ushauri mzuri, lakini huyu dada yupo kwenye ndoa, na sio vizuri ku-solve tatizo kwa kukimbia, kwani hadi wanaoana alikuwa hajui kuwa anampenda?



Hapo kwenye RED ndio ukweli..

Dada, Mama K, asante kwa kutuomba na sisi tukushauri ufanye nini...

Kikubwa ninachokiona mapenzi na huyo mwanafunzi yajengwa katika misingi ya ngono..na mara nyingi ngono ya uwizi inaonekana ni tamu, lakini madhara yake ni makubwa.
Tayari umefanya vyema kumshauri huyo kijana atafute maisha mengine; na sioni sababu ya wewe kuendelea kuwa naye wakati umeshajua nini kinaendelea.

Nakushauri utafute muda ukae na mumeo muongee yanayowasibu..Kama umekuwa na ushahidi wa kutosha kwa mumeo kuwa anatoka nje ya ndoa, kwanini usiyapeleke kwa wazazi au washenga wenu?

Hapa unasema;



Umefanya kosa, ndo maana hata moyo wako unakusuta..na huwezi kulipiza baya juu ya baya, na ikanonekana ulifanya haki. Kosa ni kosa tu.

Mie ninaona wewe bado ni msichana mdogo, 24, na maamuzi unayoyafanya ni ya kitoto. Angalia sana, usije ukapoteza ndoa yako kwa sababu tu ya huyo mwanafunzi. Hapa unasema mume wako yuko busy,ni mtu wa safari, una hakika gani kwamba amekuwa ni mtu kutoka nje??..

Hakuna ndoa iliyokamilika dada, zote zina shida kuliko..na unayofurahia mapenzi ya huyo kijana kwa sababu tu hakuna majukumu mengine mazito kama huyo kijana kutafuta chakula, kulea mtoto, yaani kwa kifupi, kinachowakutanisha nyie ni ngono tu..

Sasa kama unataka kuona maisha machungu, achana na huyo mume wako, na ukaishi na huyo kijana, halafu ndo utajua nini maana ya majukumu.. Inaonesha wewe ni mama ya nyumbani, sidhani kama mumeo hakupi matunzo mengine. Sina mengi, ila achana na huyo kijana kama ulivyoamua na uanze kujenga ndoa yako upya. Simama mwanamke..simamia ndoa yako.
 
ishu iko hivi, kwa sasa mume kajirudi tena sana tu, baada ya kuona na mimi simfatilii amekuwa clos na mimi sana,ila tatizo ni kwamba mimi simpendi kutoka moyoni, na kuachana nae siwezi coz 2metoka nae mbali sana na ingekuwa ni kuachana tungeachana kipindi amenikosea ila kwa sasa katulia mm moyo wangu ndo haumfurahii tu..nachohitaji ni jinsi ya kuishi coz aliyekuwa ananifanya ndo huyo tumeachana. ntaishi vipi bila kuwa na furaha, bila kuwa na mtu ninayempenda??

Sasa hapo safi..
Kama mumeo alirudi kwenye mstari, ni jambo la kushukuru Mungu. Kwa hiyo sasa shida yako ni kuwa unahisi ulikuwa 'unampenda' yule kijana, na sasa mmeachana.

Ila tembea ukijua siku zote kuwa heshima ya kujenga ndoa yenye furaha amepewa mwanamke. Ni juu yako wewe kama mwanamke kuhakikisha upendo na furaha vinakuwepo kwenye ndoa au kuibomoa kabisa.

Kuhusu kijana ni tamaa tu ndo zilizokusukumiza kwake..ni kweli ametengeneza ufa baada ya kutokuwa mwaminifu, lakini pia wewe umetengeneza korongo kwa kutoka nje ya ndoa.
Kwa hiyo kuna machungu umeyashikilia moyoni mwako, pamoja na guilty ya kutoka nje. Cha msingi ni kuamua kumsamehe toka moyoni mwako, na wewe umuombe msamaha huyo mumeo kwa yote yaliyotokea.
Pia ni wakati mzuri wa kuwatafuta wale waliosomea mambo ushauri.

Umepiga hatua kubwa kuinusuru ndoa yako. Jitahidi ujenge upendo sasa. Inawezekana ikiwa utaamua kwa moyo wote. Kumbuka hakuna ndoa isiyokuwa na misikusuko, hata ukimuacha huyo leo, una hakika gani kwamba hautayakuta yale uliyoyakimbia? Anza kujifunza na kutafuta mbinu za kuimarisha upendo kati yenu
 
Kwa nyongeza tu,hakuna mwanaume atakayekuamini tena kwasababu;
1:Umeshindwa kuittetea ndoa yako
2:Umeshindwa kumtoa mwenza wako ndani ya janga/mtego huo wa uasherati(Ni jukumu na wajibu wako kama mke wa ndoa)Hakika utadaiwa na Muumba.
3:Wanaume wengi wanaamini mwanamke hawezi msahau mume wa ndoa,siku wakikutana lazima......so hata ukipata mwanaume mwingine hata kuamini that much.
Kuwa makini, utaingia matatizoni,tena mara kumi ya hayo.Pole sana na amini unaweza kuvumilia,jipende mwenyewe,mpende mtoto wako,kuwa bize na harakati za kuinusuru ndoa yako na utaona upendo kwa mumeo unarudi.Daraja kubwa kati yenu ni COMMUNICATION.


Kwenye RED - Unamshauri afanye nini?...Mwenyewe kesha sema kufuatia mabaya aliyofanyiwa na mumewe hawezi kumpenda tena.
 
una miaka 24 ,una mtoto wa mwaka 1 na nusu uko kwenye ndoa miaka 5 na nusu???? khaaaa....ngoja ntarudi baadaye hii kitu ngoja nifanyie utafiti kwenye google
Ndugu umeniwahi mi nadhani kakosea alitaka kuandikss 34 labda.
 
Pole miss nora, matatizo yapo tu kweny ndoa, unaya solve vipi ndio ishu, Kwa mimi nionavyo angalia kwanza mumeo kama anakupenda? ndio ujaribu kutafuta njia za kumdhibiti ila kama upendo haupo kabisa, hapo unaweza amua vinginevyo, katika uamuzi wako usiwe selfish, fikiria pia huyo mtoto mliyemleta duniani...

Unaweza mbadili mume malaya akawa mume bora, kwanza jiangalie wapi unakosea, unampikia vizuri? wewe mwenyewe msafi? unajituma kunako sita kwa sita? makelele arudipo je? maana hii ni namba moja inayowafanya wachelewe ukiwa unapiga domo sana.....Kuna mstari kwenye bible unasema mwanamke mpumbafu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe... tafadhali usiwe kama hao jaribu kutafakari na kujenga nyumba yako, maana pia msomi wako huyo anaweza kuwa mbaya zaidi hata ya huyo mumeo, kwa sasa si unafaidi penzi changa tu? embu jiulize mumeo mlipokuwa mna uhusiano mwanzo mpaka miezi mitatu minne hakuwa kama huyo?

Sikushangai kabisa nimepitia kote huko na nimeona hakuna faida zaidi ya kujiogezea zigo lingine la maisha ya wasiwasi kama vile unaoga nje.... fikiri.... tafakari........ chukua hatua.....unaweza
 
Mwanamke shujaa ni yule anaepigania maisha yake hata kama kwa machozi na bado akiulizwa hutabasam na kusema yuko sawa.
Tulipendwa sana, tukadaganywa sana, tukaheshimiwa sana na heshima zikatupumbaza mwisho wasiku madharau yakatuvunja moyo, umefika wakati sasa wakuyahesabu yote hayo kama ni ubatili mtupu.
Tufanye kazi kwa bidii ili tusilizwe tena na hakuna kulizwa tena. We bana huyo mume wako kama unauhakika sio wewe ulie anza kumzingua, basi chukua time anza maisha yako hakuna muda tena wakumvumilia mtu ambae hajiskii kuheshimu hisia zako bwana utamuhuria mwisho wasiku atakuua bure.
Kwa huyo kijana wa chuo kikuu sina hakika sana kama atakupenda kwa siku zote za mbele kwasababu nahisi bado pia ni kijana sana, na wewe unamtoto yani wewe ni mama tayari, kua mwangalifu usije lea watoto wawili ndani ya nyumba, na ukajikuta unazeeka kabla wa wakati.


Duh ila hilo neno la hawala laki long kishenzi yani nimecheka sana sijaliskiaga town.
 
Sasa hapo safi..
Kama mumeo alirudi kwenye mstari, ni jambo la kushukuru Mungu. Kwa hiyo sasa shida yako ni kuwa unahisi ulikuwa 'unampenda' yule kijana, na sasa mmeachana.

Ila tembea ukijua siku zote kuwa heshima ya kujenga ndoa yenye furaha amepewa mwanamke. Ni juu yako wewe kama mwanamke kuhakikisha upendo na furaha vinakuwepo kwenye ndoa au kuibomoa kabisa.

Kuhusu kijana ni tamaa tu ndo zilizokusukumiza kwake..ni kweli ametengeneza ufa baada ya kutokuwa mwaminifu, lakini pia wewe umetengeneza korongo kwa kutoka nje ya ndoa.
Kwa hiyo kuna machungu umeyashikilia moyoni mwako, pamoja na guilty ya kutoka nje. Cha msingi ni kuamua kumsamehe toka moyoni mwako, na wewe umuombe msamaha huyo mumeo kwa yote yaliyotokea.
Pia ni wakati mzuri wa kuwatafuta wale waliosomea mambo ushauri.

Umepiga hatua kubwa kuinusuru ndoa yako. Jitahidi ujenge upendo sasa. Inawezekana ikiwa utaamua kwa moyo wote. Kumbuka hakuna ndoa isiyokuwa na misikusuko, hata ukimuacha huyo leo, una hakika gani kwamba hautayakuta yale uliyoyakimbia? Anza kujifunza na kutafuta mbinu za kuimarisha upendo kati yenu
Mungu akubariki sana mpendwa
 
ishu iko hivi, kwa sasa mume kajirudi tena sana tu, baada ya kuona na mimi simfatilii amekuwa clos na mimi sana,ila tatizo ni kwamba mimi simpendi kutoka moyoni, na kuachana nae siwezi coz 2metoka nae mbali sana na ingekuwa ni kuachana tungeachana kipindi amenikosea ila kwa sasa katulia mm moyo wangu ndo haumfurahii tu..nachohitaji ni jinsi ya kuishi coz aliyekuwa ananifanya ndo huyo tumeachana. ntaishi vipi bila kuwa na furaha, bila kuwa na mtu ninayempenda??
Pole sana hii ya kuhisi humpendi mume wako inatokea sanasana kuna siku pia unamuona mzuri handsome kuna siku unamuona pia mbaya hata humpendi, kwa hiyo muda mfupi tu unarudi kuwa normal, tena na hivi na yeye kabadilika, hapo ndio nafasi yako ya kumuonyesha kwamba unapenda na kumjali mpaka jiulizekwamba hivi kule nje nilikuwa nafata nini? Miss Nora, naamini kabisa unaweza, kumbuka the good times mliokuwa pamoja, kumbuka anavyokujali kama mkewe, kumbuka kiapo ulichokiapa kanisani, mwangalie pia mtoto wako kama kuna nafasi ya kumfanya awe the happiest kid in the world, please dont ruin it for him/her. at least give it a try najua utaona uzuri wake

Meanwhile, jaribu kumsahau mpenzi wako wa nje, toa vitu vinavyokufanya umkumbuke, usitembelee migahawa, bar, restaurants mlizokuwa mnaenda, usivae nguo aliyokuwa anaipenda.... nina imani utaweza, ukishindwa yote haya basi huna haja ya kujitutumua sana umri wako mdogo sana pumzika na mwanao utakuja kutana na mtu mwingine, japo sio guarantee kwamba atakuwa mwema kuliko mumeo
 
he, wewe mtoto mbona una balaa, unanyonyesha na una kijana, we acha tabia mbaya. Kama hafai, wewe chukua time yako, lakini kwa mtindo huo mmh utapata maradhi, bure ukafa.
 
mi nauliza swali......wakati unatoka na mwanachuo mlikuwa mnatumia kinga? Inawezekana mume akawa anatoka sana nje ya ndoa lakini anajilinda, wewe ukatoka mara moja tu kwa kulipiza kisasi na ukayakaribisha maradhi ya kudumu ndani ya ndoa. Mtabaki mnajiuliza......sasa nani kauleta?
 
Back
Top Bottom