kasopa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 302
- 56
Kwakweli wanaume tunakazi kubwa sanaa wewe kila nashokupa bado unakuja lalamika jukwaani ahahaa
natania jamni, namuona Lizzy kawaka kweli sijui aliwahi kufanya kazi lugalo
nihivi hawa wote ni wazinzi, na dalili huyo dada kaisha onyesha ubaya wake kutoka nje bila kujali usalama wako na afiya kwakuwa sas maradhi yametapakaa na kutojaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo lenu mana tumesoma kuwa na hapo nyuma uliwahi kuomba msaada ukashauriwa lakini hujatuweka wazi kuwa uliyatumia vipi mawazo ya jamii kumficha kijana ni hatari sana huyo kijana angehatarisha maisha yake na pia umeisha muumiza sana ki saikolojia atwachukulia wanawake wote kuwa ndo hiyohiyo sina lakushauri ukivunja ndoa utakuwa kwenye ndowano akili mkichwa
natania jamni, namuona Lizzy kawaka kweli sijui aliwahi kufanya kazi lugalo
nihivi hawa wote ni wazinzi, na dalili huyo dada kaisha onyesha ubaya wake kutoka nje bila kujali usalama wako na afiya kwakuwa sas maradhi yametapakaa na kutojaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo lenu mana tumesoma kuwa na hapo nyuma uliwahi kuomba msaada ukashauriwa lakini hujatuweka wazi kuwa uliyatumia vipi mawazo ya jamii kumficha kijana ni hatari sana huyo kijana angehatarisha maisha yake na pia umeisha muumiza sana ki saikolojia atwachukulia wanawake wote kuwa ndo hiyohiyo sina lakushauri ukivunja ndoa utakuwa kwenye ndowano akili mkichwa