Nime dates na wanawake kumi na nane tu

Nime dates na wanawake kumi na nane tu

kama bado una nyege mshindo endelea kuongeza idadi.. kama unaona sasa unaweza kutulia na kulea familia oa .. ila subiri ufike 32 ndiyo uoe na sasa anza kutafuta mwenzi wako pole pole
 
Tangia nimepevuka idadi niliyodate nayo ni wasichana kumi na nane na umri wangu ni 29yrs now, naombeni ushauri wenu wenye experience zenu niongeze idadi ama inatosha? Nitafute wangu wa maisha. Please seriouz!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umri wako na idadi hiyo ulipaswa kuwa unasomea upadri hadi sasa, mimi enzi zangu nafika umri huo list ilikua na kama 100 hivi.....
 
Ngoma, ugonjwa wa ini umepima ? Maswali mengine kipimo cha kumjua mtu uwezo wake kiakili. Miaka 29 unauliza utumbo km huu? Je ungekuwa under 20 swali lingekuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndogo saaaaaaaana..... hata 0.000001 ya mahitajio sahihi haujafikia.....

Kaza uzi vinginevyo utaangukia pabaya...

Scientist wanasema ukishndwa fikia kiwango kinachohitajika basi kuna hati hati ukafikiwa wewe iko kiwango.... shaur ako.

Sent from "La -Vista"
 
Sa hivi nikichanganya hadi maraya wa kununua.... ni almost 300... na nina 27.

Kaza.... ina faida yake... usiogope ngoma... kondomu haizuu kifo.. inazuia maambukizi... na kutopata maambukizi sio kwamba hautokufa....

Aacha uoga.... tumia organ effectvly

Sent from "La -Vista"
 
  • Thanks
Reactions: CMT
Tangia nimepevuka idadi niliyodate nayo ni wasichana kumi na nane na umri wangu ni 29yrs now, naombeni ushauri wenu wenye experience zenu niongeze idadi ama inatosha? Nitafute wangu wa maisha. Please seriouz!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo...kaza buti namba ndogo sana hiyo...dahhh. hivi wewe rekodi zetu utazivunja kweli...au unataka uoe na kutulia ukiwa na miaka 100.
jitahidi kabla hujaoa uwe umegonga atleast wanawake 120...atleast.


kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
  • Thanks
Reactions: CMT
Back
Top Bottom