Unafkiri wenzio tunapenda mkuu...ni ktk harakat tu za kutafuta kilicho borakama kudate wanawake wengi ndo ujanja acha mimi niendelee kua mshamba... nina 24 years but nimedate na wawili niliye naye niwatatu na naimani ndo atakua mke wangu
Unamaanisha nini mkuu??ukitembea nao wengi na wewe wako ataliwa? ?Ushauri mzuri
What goes around always comes around
Mpe moyo aendelee mana bado ana idadi ndogoIvi zipo kichwani sawa kwelii ,,,endelea mpaka ufie juu ya kifua cha mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Apanaa asee namuonea uruma kifo nahisi kinamuitaMpe moyo aendelee mana bado ana idadi ndogo
teeeeh hao wengine zilipendwa tayari, umebak wew tu wa 18,, [emoji23]
Tatzo yeye anajiona bado idadi ni ndogo na anazani anatakiwa aongeze
[emoji3][emoji3]akuuuu wee endelea tuuu na wa 19 baba angu umenishindaateeeeh hao wengine zilipendwa tayari, umebak wew tu wa 18,, [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asantee sanaaaHahaha, hizi sifa za kupeana vijiweni mbaya sana.
Mwanaume asieweza kuheshimu hisia za mwanamke, hafai kuitwa mwanaume, atafutiwe jina jingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa we unataka uwe wa kwanza na mwisho[emoji3][emoji3]akuuuu wee endelea tuuu na wa 19 baba angu umenishindaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eeehHaaaa we unataka uwe wa kwanza na mwisho
Tangia nimepevuka idadi niliyodate nayo ni wasichana kumi na nane na umri wangu ni 29yrs now, naombeni ushauri wenu wenye experience zenu niongeze idadi ama inatosha? Nitafute wangu wa maisha. Please seriouz!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa ngoja nije ili uwe first and last