Nime dates na wanawake kumi na nane tu

Nime dates na wanawake kumi na nane tu

Duuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!!! Kumbe bado kuna mianya ya upatikanaji wa bangeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mr prezzzzzz the mission failed......
 
Tangia nimepevuka idadi niliyodate nayo ni wasichana kumi na nane na umri wangu ni 29yrs now, naombeni ushauri wenu wenye experience zenu niongeze idadi ama inatosha? Nitafute wangu wa maisha. Please seriouz!

Sent using Jamii Forums mobile app


ongeza idadi hao wachache mbn!unawatia aibu vivulana wenzio!
 
Tangia nimepevuka idadi niliyodate nayo ni wasichana kumi na nane na umri wangu ni 29yrs now, naombeni ushauri wenu wenye experience zenu niongeze idadi ama inatosha? Nitafute wangu wa maisha. Please seriouz!

Sent using Jamii Forums mobile app


ongeza idadi hao wachache mbn!unawatia aibu vivulana wenzio!
 
  • Thanks
Reactions: CMT
Back
Top Bottom