BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,777
- 6,266
Angalau 50 hivi,ungeeleweka
[emoji2] [emoji2] usicheke ujue kweli anajua kabisa kwamba anayofanya si sahihi afu anauliza jamanii kwelii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wee kweli unafikiri kutembea na wanawake wengi ni sifaa eeeh sasa endelea alafu yakikukuta uje tena uombe ushauri..
[emoji15]Mkuu idadi inatosha! Spare some strength for 70 virgins that awaits you on heavens...
Mkuu tusiende mbali jst be honest..ww mpka sasa hv figure yko imefika wangp?Sasa wee kweli unafikiri kutembea na wanawake wengi ni sifaa eeeh sasa endelea alafu yakikukuta uje tena uombe ushauri..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]na mmoja tuu ambae ndo wew nashangaa unavyokuja kusema uku umefikisha 18...Mkuu tusiende mbali jst be honest..ww mpka sasa hv figure yko imefika wangp?
Sent using Jamii Forums mobile app
aaa ode.Ivi zipo kichwani sawa kwelii ,,,endelea mpaka ufie juu ya kifua cha mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeona sasa kuna watu hatariii..yan me nna uhakika asilimia 100, idadi yangu ni ndogo saana..mmejionea wenyew chuma hcho kimeburuza wamefika 30
Wa kumi na nane cndo wew mkuu [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]na mmoja tuu ambae ndo wew nashangaa unavyokuja kusema uku umefikisha 18...
Sent using Jamii Forums mobile app
nitunuku basii